Log in

/M-E-D-1-1/news: English: WI0001DE56815C7000027992:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English

SHULE TUNAZO; VITENDEAKAZI JE?

Wakati serikali yetu ikijinadi kuwa imepata mafanikio makubwa katika kuwezesha watoto wengi kujiunga na elimu ya msingi hapa nchini; bado kuna umuhimu mkubwa wa serikali kutafakari kwa kina kile watoto hawa wanachokipata katika shuleni hizo.

Ni ukweli usiopingika kwamba shule zetu za msingi zimepata wanafunzi wengi ambao kwa hakika wamejiunga na shule za msingi kwa ajili ya kupata elimu hii muhimu kwa maisha yao ya kila siku. Kwa hili tunapaswa kuipongeza serikali kwani wapo vijana wengi ambao kwa juhudi za serikali hasa kuiptia mpango wa MMEM wangeikosa fursa hii.

Pamoja na pongezi hizi; yapo mambo ambayo tunapaswa kuyatazama kwa mapana zaidi hasa katika suala zima la upatikanaji wa vitendea kazi kama vitabu vya kiada na ziada, walimu wa kutosha kwa masomo yote, madawati, vyumba vya madarasa, matundiu ya vyoo, mazingira safi nya kujifunzia na kufundishia na viwanja vya michezo kwa watoto wetu.

Ukosefu wa mahitaji muhimu au vitendea kazi hivyo na kutokuwepo kwa juhudi za dhati za kutatua tatizo hilo ni sawa na kuididimiza elimu na kuwapotezea muda vijana hawa ambao kila kukicha wanaitafuta elimu na kujikuta ndoto zao zikiishia hewani.

Kwa kitabu kama hiki anachokisoma kijana huyu aliyefahamika kwa jina moja la Issa mwanafunzi wa darasa la nne katika shule ya msingi Pahi Wilayani Kondoa; ni ushahidi tosha kuwa bado kijana huyu na wengine wengi wana safari ndefu ya kutimiza ndoto zao za kupata Elimu bora na yenye manufaa kwa maisha ya baadaye.

Wadau wote wa Elimu nchini; hatuna  budi kumpongeza kijana huyu kwani licha ya kitabu hiki kubaki kipande baada ya kuliwa na wadudu ambao haijafahamika kama ni jamii ya mchwa  au panya; bado ameendelea kuhitaji japo masalio ya kile kilichoandikwa kwenye kitabu hiki. Hongera sana Issa!

 

We SCHOOLS; VITENDEAKAZI WHAT?

While our government has ikijinadi be successful in enabling children to join primary education in the country, there is still a great need for government to reflect the depth of what these children are found out in these schools.

It is a fact that our primary schools have received many students who have actually enrolled in primary school education for getting this important to their daily lives. For this we must congratulate the government because there are many young people who through the efforts of governments, especially kuiptia PEDP would not have this opportunity.

With the compliments of these, there are things that we should see in detail, especially in the context of the availability of resources like textbooks and surplus, enough teachers for all subjects, desks, classrooms, matundiu toilets, cleaner new learning and teaching and playgroups for our children.

Lack of basic needs or resources that the absence of a genuine effort to resolve this problem is equivalent to education and kuwapotezea kuididimiza time indeed hour by hour the young men who are seeking education and find their dream zikiishia air.

For a book like this is read this young man was known by one name Issa student fourth grade in elementary school Pahi District Kondoa, is evidence that young man, and many others have a long journey to fulfill their dream of getting education better and more fruitful for the future.

All stakeholders of education in the country, we must congratulate this young man because, in spite of this book remain a piece after being eaten by insects which ijafahamika as a community of ants or mice, yet he continues to require at least remnant of what was written in this book. Congratulations to Issa!


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
November 26, 2011
We SCHOOLS; VITENDEAKAZI WHAT? – While our government has ikijinadi be successful in enabling children to join primary education in the country, there is still a great need for government to reflect the depth of what these children are found out in these schools. – It is a fact that our primary schools have received many students who have actually enrolled in primary school education for getting this important to their...
Google Translate
July 18, 2011
We SCHOOL; VITENDEAKAZI WHAT? – While our government has ikijinadi be successful in enabling many children joining primary education in the country, there is still a high priority of government to reflect in detail what they found out these children in these schools. – It is a fact that our primary schools have made many students who actually are enrolled in primary school to gain this important knowledge to...
This translation refers to an older version of the source text.