Base (Swahili) |
English |

Moja ya vijana walioathirika kutokana na ukosefu wa elimu ya maadili ndani ya Mji wa Mwanakwerekwe. Vijana hawahawa huwa ndio waharibifu wakubwa wa mazingira hususan kwa uchimbaji wa mchanga katika mji huo na maranyigi ni vigumu sana kuwakabili kwani huwa na silaha kama mapanga,visu nk. MEECO inawakati mgumu na kazi nzito kuhakikisha suala hilo linaondika kabisa katika jamii ya Zanzibar
|

One of the teenagers who suffer from a lack of ethics within the City of Mwanakwerekwe. These youngsters do not have the severe environmental degradation, particularly for the extraction of sand in the city and maranyigi is very difficult to approach but it is not with weapons like swords, knives etc. MEECO inawakati hard and heavy work to ensure it completely linaondika community in Zanzibar
|