About
Explore
Search
Volunteer
Updates
English
Kiswahili
Kinyarwanda
Log in
/M-E-D-1-1/news
: English
Base
English
Kero ya Maji Kikuyu Hadi lini? – Wakazi wa kata ya Kikuyu Kusini Manispaa ya Dodoma hawajui hatima yao dhidi ya kero ya maji wanayo endelea kuipata kwa miongo kadhaa hadi sasa. wakazi hao wamekuwa wakitumia maji ya visma vifupi yasiyo safi wala salama kwa kipindi kirefu imeelezwa. (image) – Kama picha inavyoonesha hapo...
Harassment of Water Kikuyu Until when? – Residents of the county of South Kikuyu Dodoma Municipality do not know their fate against the nuisance of water that they continue to find it for decades until now. These residents have been using water wells and non-clean safely for long periods indicated. (image) – As the picture shows above, these residents have claimed to have lived in the county of Kikuyu for over twenty years and...
Edit
Mikakati
Strategies
Edit
Kwani Viongozi wetu Hawaoni? – Wananchi wa Kata ya Hazina iliko shule ya Msingi wanajiuliza swali mkwamba "Kwani viongozi wetu hawaoni?" wakazi hawa wamefikia hatua hiyo mara baada ya kutosikia hatua zozote zilizochukuliwa na ama viongozi wa Mkoa, Wilaya, au Tarafa kuhusiana na vyumba viwili vya madarasa vilivyojengwa katika shule hiyo kuharibika vibaya kutokana na kujengwa chini ya kiwango. (image) ...
Did they not see our leaders? – Citizens of the County Treasury iliko Primary School are asking the question thorny shrub, "Have our leaders do not see!" Residents that they have reached a stage that immediately after hearing any actions taken by either officials of the province, district, or division related to two rooms of classrooms constructed in schools So badly damaged due to be built under the standard. ...
Edit
Je Wajua?
Did you know?
Edit
Picha za Matukio
Photos of Events
Edit
Hakuna Maisha Bora Bali Bora Maisha. – Familia moja katika Kata ya Kikuyu Kusini Manispaa ya Dodoma itaubaliana na kauli yangu kwa Bora Maisha kwa Kila Mtanzania na ukweli si Maisha Bora kwa kila Mtanzania kama ambavyo kauli hiyo imekuwa ikiimbwa kila kukicha na viongozi wetu wa Serikali na hata wa hama Tawala CCM. – Kwa zaidi ya mwezi mmoja na nusu sasa moja kati ya nyumba zilizoathiriwa na mvua zilizonyesha mjini Dodoma tangu mwishoni mwa mwezi Januari...
Nothing Better Life Better Life Bali. – One family in South County Kikuyu Dodoma Municipality itaubaliana and my word for Better Life for Every Tanzanian and Quality of Life in reality is not like that word every Tanzanian has been ikiimbwa indeed hour by hour and our leaders of government and the ruling CCM's move. – For over a month and a half now one of the houses affected by the rains in Dodoma zilizonyesha since late January despite not ijafanyiwa...
Edit
MED Yaomba Wastaafu Kufundisha kwa Mikataba. – Asasi ya Marafiki wa Elimu Dodoma MED imemwomba Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ushari ya Wilaya (DCC) Bw. John Tuppa; kuishauri kamati yake ili iwatumie walimu wastaafu kufundisha shule za sekondari za kata. – Barua ya MED yenye maombi hayo iliwasilishwa kwa Mkuu wa Wilaya kwa lengo la kusaidia kupunguza tatizo la uhaba wa walimu katika shule za kata katika Wilaya ya Dodoma. ...
WITH Teaching Contracts ask for pensioners. – Institutions of the Community Education General imemwomba WITH Dodoma Dodoma Urban District, who also is chairman of the District Committee of evil (DCC) mr. John Tuppa, its committees to advise iwatumie retired teachers to teach secondary school in the county. – WITH a letter of application that was presented to the District in order to help reduce the problem of shortage of teachers in county schools in the...
Edit
Wanaharakati Wajadili Mchakato wa Katiba Mpya. – Mchakato wa kuandika katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania unazidi kushika kasi zaidi nchini baada ya wanaharakati wa mikoa saba kukutana Dodoma kujadili na kujifunza juu ya katiba ya sasa na mapungufu yake na jinsi ya kuelimisha wananchi umuhimu wa kuwa na katiba mpya. – Warsha hiyo ya sikun tatu inafanyika katika Hoteli ya Dodoma inahudhuriwa na wawakilishi wa Mitandao ya Asasi za Kiraia kutoka katika...
Activists discuss the process of constitutional line. – The process of writing a new constitution of the United Republic of Tanzania is increasingly gaining momentum over the country after seven activists meet Dodoma regions to discuss and learn about the current Constitution and its limitations and how to educate the public need for a new constitution. – The workshop takes place in a three-kun Dodoma Hotel attended by representatives of Civil Society Networks in...
Edit
MED Hewani Kuanzia Mach 2011. – Asasi ya Marafiki wa Elimu Dodoma (MED) inatarjia kuanza kuendesha vipindi vyake vya Radio kuhusu Elimu kuanzia mwezi Machi, 2011. Wanachama wa MED na wadau wote wa Elimu wanakaribishwa kushiriki kwenye vipindi hivyo. – Hayo yameelezwa na Mratibu wa MED Bw. Davis Makundi alipkuwa akiongea na mwandishi wa habari hizi ofisini kwake. Bw. Makundi amesema vipindi hivyo vitaendeshwa kwa udhamini wa mashirikaya HakiElimu na...
WITH air From Mach 2011. – Friends of the Educational Institutions of Dodoma (WITH) inatarjia start running their programs of Radio on Education from March, 2011. WITH members of Education and all stakeholders are invited to participate in this program. – These are described by Mr. WITH Coordinator. Davis pkuwa groups was speaking to this reporter in his office. Mr. The groups says it will be organized for the warranty periods for all Uwezo.net...
Edit
Kutoka Mitaani
From the Streets
Edit
Wafadhili
Donors
Edit
Wenye Ulemavu Waomba Msaada wa Vifaa. – Watu wenye changamoto za ulemavu wamewaomba wanasiasa kuwasaidia kupata nyenzo mbalimbali kwa ajili ya shughuli zao za kila siku. – Wakiongea kwa nyakati tofauti na MED wanachama wa Chama Cha Viziwi Tanzania (CHAVITA) tawi la Dodoma wamesema; wanasiasa wana nafasi nzuri ya kutetea haki za walemavu kama kweli wakidhamiria kufanya hivyo. – Mwenyekiti wa CHAVITA tawi la Kondoa Bw. Mustafa Shabani amesema watu wenye...
Invoke Disability Support Equipment. – People with disabilities have challenged the call on politicians to help them find various materials for their daily activities. – Wakiongea WITH different times and members of the Tanzania Association of the Deaf (CHAVITA) branch of Dodoma have said, politicians have a good chance of defending the rights of disabled people as they really intend to do so. – Chairman Mr CHAVITA branch of Kondoa. Mustafa...
Edit
Wazazi waaswa na Tuisheni za wanavyuo. – Wazazi wa wanafunzi wanaosoma katika shule ya Sekondari ya Kikuyu Manispaa ya Dodoma wameaswa kujihadhari na Tuisheni zinazoendeshwa na wanavyo kwani zina madhara makubwa kuliko faida. – Rai hiyo ilitolewa kwenye mkutano wa wazazi wa wanafunzi wa kidato cha pili na cha nne wanaosoma katoka shule hiyo kufuatia malalamiko kuwa wengi wa wanafunzi wa shule hiyo wanajihusisha na masuala ya ngono na wanachuo wa St....
Parents should especially with Tuisheni of the colleges. – Parents of students who are studying in Secondary School in Dodoma Municipality Kikuyu are trapped Tuisheni operated aware of what they have as serious consequences than benefits. – Rai was released at the meeting that the parents of students form the second and fourth who read it went out of school following complaints that many school students are involved with issues of sex and...
Edit
Matukio Yajayo
Upcoming Events
Edit
Washirika
Partners
Edit