Fungua

/MEECO/news: Kiswahili

AsiliKiswahili
(image) – Baadhi ya vitendea kazi katika usafi wa mazira alivyovitoa MH.HAROUN ALI SULEIMAN moja ya ahadi alizoahidi katika uzinduzi huo(Bila tafsiri)Hariri
(image) – MH.HAROUN ALI SULEIMAN Waziri wa kazi na Uwezeshaji Wanaachi Kiuchumi na Ushirika akilopokuwa akifunguwa jumuiya ya MEECO(Bila tafsiri)Hariri
(image) – Vijana hatarishi katika masuala ya uharibifu wa mazingira kwa kuchimba mchanga walio jaa katika Mji wa Mwanakwerekwe, vijana hawa vilevile hutumia bangi na madawa ya kulevya ili kujipatia vipato vyao na huwa hatari sana kwa wapenda maendeleo kwani huwa wanachukuwa silaha mbalimbali katika harakati zao za haramu(Bila tafsiri)Hariri
(image) – Viongozi na wanachama wa jumuiya ya MEECO wakiwa katika ziara yao ya kuhamasisha jamii kuhusu utunzaji na uhifadhi wa mazingira ya mikoko katika kijiji cha Unguja Ukuu Mkoa wa Kusini Unguja. Kuanzia kulia ni Abdallah Saleh Fatawi (Naibu Katibu)Hija Ramadhan Choko ( Mkuu wa Kamati ya Mapambo)(Bila tafsiri)Hariri
(image) – Vijana wa MEECO talent group nao hawakombali kushiriki katika uhamasishaji wa utunzaji wa Mazingira katika mikoko katika kijiji cha Unguja ukuu(Bila tafsiri)Hariri
(image) – Viongozi na wanachama wa jumuiya ya MEECO wakiwa katika ziara yao ya kuhamasisha jamii kuhusu utunzaji na uhifadhi wa mazingira ya mikoko katika kijiji cha Unguja Ukuu Mkoa wa Kusini Unguja(Bila tafsiri)Hariri
(image) – Wanachama wa MEECO wakiwa katika safari yao ya kwenda kuhamasisha utunzaji na uhifadhi wa mazingira katika kijiji cha Unguja Ukuu(Bila tafsiri)Hariri
(image) – Katibu wa MEECO (shati la machungwa) akiwa mgeni rasmi katika Mkutano mkuu wa Jumuiya Rafiki ya UWEMAJO ya Jozani Mkoa wa Kusini Unguja. Suala la utunzaji wa mazingira kuhusu kuepuka ukataji ovyo wa miti ndio mada kubwa aliyoizungumzia.Kushotoni kwake ni Katibu Mtendaji wa jumuiya ya UWEMAJO Bw. Hassan Khatibu akifuatiwa na Msaidizi Katibu wa jumuiya hiyo Bw. Rajab Mchumi ( Mzee Liliondo)(Bila tafsiri)Hariri
(image) – Uwongozi wa jumuiya ya MEECO ukishirikiana na Kamati ya ulinzi na usalama wa Shehia ya Mwanakwerekwe wakiwa Ofisini skuli ya Sekondari Mbarali katika jitihada za kutatua tatizo la uvutaji wa bangi kwa baadhi ya wanafunzi wakorofi wa skuli hiyo!!(Bila tafsiri)Hariri
(image) – Wanachama wa MEECO wakiwa na sheha wa Shehia ya Pangawe katika dhiara ya kuhamasisha utunzaji wa mazingira katika kijij cha Unguja ukuu Mkoa wa Kusini Unguja(Bila tafsiri)Hariri
CommentsMaoniHariri
SeptemberSeptembaHariri
{month} {day}, {year}{day} {month}, {year}Hariri
DiscussionsMajadilianoHariri
Kinyarwanda(Bila tafsiri)Hariri