Log in

/TEYODEN/news: English: WI0002204BCE762000002921:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English

TEYODEN na TYVA waongeza nafasi za ushirikiano

TEYODEN na Tanzania Youth Vision Association(TYVA),leo walifanya mkutano wa kuzindua ajenda ya vijana 2010,wakishirikisha asasi nyingine za vijana katika ukumbi wa Karimjee leo ambapo mada ilwasilishwa na mkurugenzi wa hakielimu,Bibi Annastazia Rugaba ambaye pia alibainsha changamoto zinazowakabili vijana kuelekea uchaguzi mkuu na katika harakati za kujikomboa kiuchumi,kisiasa na kiafya.

Kisha baada ya mawasilisho hayo,vijana walipata nafasi ya kufanya majadiliano yaliyopelekea kuwepo kwa maazimio ambayo baadaye yatapelekwa kwa makatibu wa vyama vya siasa nchini,yakipendekeza nini kifanyike kwa ajili ya vijana,mara chama chochote kitakachoingia madarakani kitapaswa kiyafanyie kazi.

Katika mojawapo ya maazimio hayo ni kuhusu kuwepo kwa ufuatiliaji wa mapendekezo hayo hata baada ya uchaguzi kwa wale waliochaguliwa.

 

 

 

 

 

 

TYVA TEYODEN and multiply the chances of cooperation

TEYODEN and Tanzania Youth Vision Association (TYVA), today held a meeting to launch the agenda of youth in 2010, they involve other institutions of youth in the hall Karimjee today where topics ilwasilishwa and director of education, Mrs Annastazia Rugaba who also bainsha challenges facing the youth towards elections and in pursuit of economic emancipation, political and health issues.

And after these presentations, the young people the opportunity to talk that led the existence of resolutions which would later be forwarded to the secretaries of party politics, yakipendekeza what can be done for young people, whatever party was in power kitakachoingia kiyafanyie They should work.

In one of these resolutions are about to be monitoring these proposals until after the election to those elected.


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
November 5, 2011
TYVA TEYODEN and multiply the chances of cooperation – TEYODEN and Tanzania Youth Vision Association (TYVA), today held a meeting to launch the agenda of youth in 2010, they involve other institutions of youth in the hall Karimjee today where topics ilwasilishwa and director of education, Mrs Annastazia Rugaba who also bainsha challenges facing the youth towards elections and in pursuit of economic emancipation, political and health issues. – And...
Google Translate
October 6, 2010
TYVA TEYODEN and increase the chance of cooperation – TEYODEN and Tanzania Youth Vision Association (TYVA), today came together to launch an agenda for youth 2010, they engaged the other institutions of youth in the hall Karimjee today where the topic ilwasilishwa and director of education, Mrs Annastazia Rugaba who also bainsha challenges facing the youth towards general elections and the movement to liberate the economic, political and health. ...
This translation refers to an older version of the source text.