Base (Swahili) | English |
---|---|
Ndazigula: Walimu hakikisheni idadi ya wasiojua kusoma kuandika inapungua Na ASIA KILAMBWANDA Mwenyekiti wa halmashauri ya Mtwara vijijini Musa Saidi Ndazigula amewataka walimu kuhakikisha idadi ya wanafunzi wasiojua kusoma na kuandika inapungua au kutoweka kabisa kwa kuhakikisha anajitioa kutumia muda wa ziada kuwasaidai wanafunzi wasiojua kusoma na kuandika . Ndazigula amesema hayo katika ufunguzi wa mafunzo ya siku 4 ya waalimu wa darasa la kwanza na la pili katika halmashauri ya wilaya ya Mtwara vijijini yenye lengo la kuwafundisha mbinu bora za ufundishaji wa madarasa ya kwanza na yaq pili yaliyo chini ya shirika la kuhuduma watot UNICEF. Ameongeza kuwa Halmashauri ya Mtwra vijijini jumla ya wanafunzi 46440 kati ya hao wanafunzi wasiojua kusoma ni , kuandika na kuhesabu ni 3400 huku akiwataja waalimu kuwa chanzo kikubwa cha idadi hiyo. Aidha Ndazigula ametaka waalimukupitia kwa kina changamoto zinazo wakabili katika utekelezaji wa elimu katika Halmashauri ya wilaya ya Mtwara na kuibua mbimu na mikakakti imara itakayo wasidia kuboresha hali ya taaluma Kwa niaba ya upande wa washirika wa mafunzo ya hayo wametajam changamota zinazoikabili sekta ya elimu kwa kuwa na idadi ya kubwa ya watoto wasiojua kusoma , kuandika na kuhesabu katika halmashauri ya Mtwara vijijini kuwa ni pamoja na umasikini , uelewa mdogo wa wazazi , mlundikano watoto darasani na baadhi ya watoto kuto taka kuandika . Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Ndazigula imesema kuwa kabla ya lkuanza kwa mpango wa Maendeleo ya Elimu ya msingi (MMEM), Karibu nusu ya watoto wenye kustshili kuingia shule ya msingi hawakuwa wakiandikishwa shuleni kila mwaka na zaidi ya hapo watoto wenye umri mkubwas wa miaka 8-13 walikuwa waiandikishwa kuanza darasa la kwanza sambamba na wale wenye umri wa miaka 7 hali hii ilisababishakwepo kwa idadi ya kubwa ya watoto wanaokadiriwa kufikia takribani milioni 2.5wanaokosa elimu ya na wale wanaoachashule kabla ya kumaliza darasa la saba. |
Ndazigula: Teachers please make sure the number of illiterates to write a decreasing And ASIA KILAMBWANDA Chairman of the board of the Mtwara rural Musa Saidi Ndazigula has urged teachers to ensure the number of students who are literate are decreasing or disappearing completely sure he jitioa kuwasaidai spend extra time students who are literate. Ndazigula has said this at the opening of training on day four of the teachers of first class and second in the district council of the Mtwara rural areas aimed at teaching best practices in teaching classes first and yaq second under the United Nations Children UNICEF. He added that the Board of Rural Mtwra total 46,440 students between them are illiterate, write and count is 3400 while the teachers mentioned that the major source of that number. Either he wants to limukupitia Ndazigula depth beneath and billing challenges in the implementation of education in the Mtwara District Council to explore methods and mikakakti dia solid that will not improve the professionalism On behalf of the members of the training that they have tajam changamota facing the education sector for a number of great kids who do not know to read, write and count in the councils of the Mtwara rural areas that include poverty, low awareness of parents, mlundikano children in class and some children from wanting to write. According to information released by Ndazigula said before lkuanza plan Development of Primary Education (PEDP), almost half of children with kustshili enter primary school were not enrolled in school every year and above age children mkubwas 8 years -13 were waiandikishwa start the first class corresponds to those aged 7 years this ilisababishakwepo large numbers of children are estimated to be about a million 2.5wanaokosa education and those who achashule before finishing seventh grade. |
Translation History
|