Envaya
/jeanmedia/news
: Kiswahili
Asili
Kiswahili
(document) – Executive chairperson of Jean media, Mrs Sango Kipozi has been selected to be Executive chair for the commitee of the Southern Radio station owners the documents above specify her position and the role of the members of the commitee
(document) – Mwenyekiti Mtendaji wa vyombo vya habari Jean, Bibi Sango Kipozi imekuwa kuchaguliwa kuwa mwenyekiti Mtendaji wa kamati ya Kusini mwa wamiliki wa kituo cha Radio hati ya juu bayana nafasi yake na wajibu wa wanachama wa kamati ya
Hariri
(image) – Shule ya Sekondari nanyamba iliyopo kata ya nanyamba wilaya ya Mtwara vijijini
(Bila tafsiri)
Hariri
(image)
(image)
(This translation refers to an older version of the source text.)
Hariri
Jean media imetoa msaada wa katoni za maji , na vitafunio mbalil mbali vya watoto kwa wahanga wa janga la kitaifa lililo tokea Gongo la Mboto juzi ambapo mabomu yali lipuka ghafla kwenye ghala za mabomu ziliopo eneo la Gongo la mboto. mpaka sasa watu 20 wamekwisha poteza maisha yao na 300 ni majeruhi. Janga hili limewahi kutokea hapo Mbagala.
(Bila tafsiri)
Hariri
JEAN MEDIA, KUPITIA MTWARA FM,REDIO YA JAMII, IMEFUATILIA ATHARI YA MAZINGIRA KUTOKANA NA MABOMU YALIYOLIPUKA KATIKA KAMBI YA JESHI LA WANANCHI WA TANZANIA KIKOSI NAMBA 511 KATIKA ENEO LA GONGO LA MBOTO JIJINI DAR-ES-SALAAM – Milipuko mikubwa ya mabomu iliyotokea inchini Tanzania katika ghala kuu la kutunzia silaha la jeshi la wananchi wa Tanzania [JWTZ] Gongo la mboto jijini Dar es salaam imesababisha uharibifu mkubwa wa...
(Bila tafsiri)
Hariri
(image) – Kijiji cha nanyamba kilicho karibu na kata ya nanyamba Halmashauri ya Mtwara Vijijini
(Bila tafsiri)
Hariri
(document)
(document)
Hariri
There has been a setback in the reception of the broadcasting of the JEAN media's only communty radio existing in the Southern Mtwara region,when our antenna was pulled off the tower owned by our kind neighbours The Artmus Electricity company, who had to vacate original premises due to a sudden termination of their contract. – Meanwhile JEAN media intends to purchase from Miami Florida OMB,USA, a Mr PLATINUM LINK receiver for frequencies 175 MHz TO 470 MHz supplied in 20 MHz...
Kumekuwa na kurudi nyuma katika mapokezi ya utangazaji wa redio ya vyombo vya habari Jean tu communty zilizopo katika mkoa wa Kusini mwa Mtwara, wakati antenna yetu ilikuwa vunjwa mbali na mnara inayomilikiwa na majirani zetu aina ya Artmus Umeme kampuni, ambaye alikuwa na vacate premises halisi kutokana na kuondoa ghafla ya mkataba wao. – Wakati huo huo Jean vyombo vya habari inakusudia kununua kutoka Miami Florida OMB, Marekani, na Mr PLATINUM LINK receiver kwa frekvenser...
Hariri
Mpango wa utoaji wa elimu ya watu wazima vijijini uungwe mkono – Na ASIA KILAMBWANDA – Taaluma ni nyenzo kubwa ya kufikia maendeleo , pia huharakisha mipango ya kufika katika Nyanja mbalimbali za kiuchumi, kijamii na hata kisiasa bila kujali taaluma hiyo ni nadharia ama vitendo inategemea jinsi ya matumizi ya taaluma hiyo. – Katika kulifahamu hili Halmashauri ya wilaya ya Mtwara Vijijini kwa kushirikiana na shirika la kimataifa la...
(Bila tafsiri)
Hariri
(image) – Maeneo ya shule zilizopo mkoani Mtwara
(Bila tafsiri)
Hariri