Log in

/hakielimu/news: English

BaseEnglish
Kwa wale wote ambao hawakupitia chekechea & leo mmewakumbuka walimu wa darasa la 1 je mnaweza mkawafikishia salamu hvi http://t.co/bLLwP7cC(Not translated)Edit
@Justin_Nyangala Hongera kwao walifanya kazi kubwa hadi leo umewakumbuka,lakini wanaweza wasiuone ujumbe huu jaribu hii http://t.co/bLLwP7cC(Not translated)Edit
@MariaSTsehai Hongera ziwafikie walimu hao kama hakukuwa na chekechea na hao wasingekuwa na elimu fikiria ingekuwa vipi? #boreshachekechea(Not translated)Edit
@kmbise Hongera sana kwa mwalimu Zakaria Kitomari, je alishiriki katika kukufundisha a,e,i,o,u na 1,2,3,4,5,6,7,8,9,10?(Not translated)Edit
@zittokabwe Hongera sana walimu wa Comrade Zitto kwa kumpa mwanga na mpaka leo anasimama kutetea maslahi yenu, hongera za kipekee kwa jirani(Not translated)Edit
@zittokabwe Walimu hawa ndio walikufundisha a,e,i,o,u na 1,2,3,4,5,6,7,8,9,10 au kwa nini umewakumbuka sana #SikuyaWalimu(Not translated)Edit
@mujemaso Hongera sana BI Mwanilonge kwa kazi nzito huenda tungekuwa na elimu bora ya chekechea leo ungemkumbuka mwalimu wa huko pia(Not translated)Edit
@MtindiE Tukumbushe kwa nini umemkumbuka mwalimu Mongela(Not translated)Edit
Kwa wale mliopitia chekechea na leo mmewakumbuka walimu wenu basi wafikishieni salamu kwa njia hii http://t.co/bLLwP7cC #SikuYaWalimu(Not translated)Edit
@mwandani Tukumbushe sifa za walimu wako hawa kiasi kwamba huwezi kuwasahu ingawa ni siku nyingi zimepita sasa(Not translated)Edit