Base (Swahili) | English |
---|---|
@Rev. Japhet Aloyce (Nzega District Tabora Region): Kuna njia nyingi za kutambua na kukabiliana na unyanyasaji wa Kijinsia kwa Wasichana. Unyanyasaji kwa wasichana mara nyingine hufanywa pasipo kukusudia, wengi wakichukulia vitendo vya unyanyasaji kijinsia kuwa vya kawaida kiasi kwamba wazazi, ndugu, walimu, waajira, madaktari na hata watetezi wa binadamu hushiriki kukiuka haki za wasichana. Njia mojawapo ya kutambua vitendo vya unyanyasaji kwa wasichana na kufanya utafiti shirikishi kwa jamii ili jamii ziweze kuibua vitendo vya unyanyasaji. Motokeo ya tafiti hizi yasambazwe kwa jamii na yatumike katika kuelimisha jamii athari za vitendo hivi. watu wenye taarifa na ufahamu wa kutosha juu ya vitendo vya unyanysaji na athari zake watakuwa katika nafasi nzuri ya kupapambana na unyanyasaji kijinsia kwa njia zifuatazo
|
@ Rev. Japhet Aloyce (Nzega District, Tabora Region): There are many ways to recognize and respond to violence against girls. The abuse of girls is sometimes done unintentionally, many assume that acts of sexual abuse so common that parents, relatives, teachers, cumin, doctors and even the defenders of human rights violations involved girls. One way to recognize acts of violence against girls and do collaborative research with communities so that communities can be visually acts of violence. These studies Motokeo yasambazwe to be used in educating the community and social impact of these practices. people informed and knowledgeable about the acts of violence and its effects will be in a better position to kupapambana and sexual abuse in the following ways:
|
Translation History
|