Tunawezaje kuifahamisha/kuielimisha jamii yetu kuhusu tatizo lililojificha/lililofichama,la udhalilishaji wa Kijinsia kwa wasichana – a) Tutatumia njia gani ili kutambua na kukabiliana na unyanyasaji wa kijinsia kwa wasichana ndani ya jamii zetu? – b)Je kuna mifano ipo katika jamii inayokuzunguka kuhusu tatizo hili kwa wasichana? – c) Je tatizo hili hutokea kwa sura gani? – Tafadhali... | (Bila tafsiri) | Hariri |