MED KUGHARAMIA MITIHANI YA MAZOEZI IV KIKUYU SEKONDARI. – Shirika la Marafiki wa Elimu Dodoma MED litagharamia uchapishaji wa mitihani ya Mazoezi kwa wanafunzi wa kidato cha nne katika shule ya sekondari Kikuyu ili kuongeza maarifa kwa wanafunzi wa shule hiyo wanaotarajiwa kufanya mtihani wa kuhitimu kidato cha nne mwezi Novemba, 2013. – Uamuzi huo wa MED umetolewa katika kikao cha pamoja kati ya wazazi, wanafunzi na walimu wa kidato cha nne... | FINANCING OF PRACTICE IV examinations SECONDARY Figs. – Friends of Education Organization Dodoma MED printing litagharamia Practice exams for students in Form Four in secondary schools Kikuyu to increase knowledge for students of the school are expected to sit for the Form Four graduation in November, 2013. – The decision of the MED has been issued in a joint session between parents, students and teachers to form the school's fourth... | Edit |