Kuhusu
Peleleza
Tafuta
Jitolee
Mabadiliko
English
Kiswahili
Kinyarwanda
Fungua
/m-e-d-1-1/news
: Kiswahili
Asili
Kiswahili
Mikakati
(Bila tafsiri)
Hariri
Je Wajua?
(Bila tafsiri)
Hariri
Picha za Matukio
(Bila tafsiri)
Hariri
MED Yaomba Wastaafu Kufundisha kwa Mikataba. – Asasi ya Marafiki wa Elimu Dodoma MED imemwomba Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ushari ya Wilaya (DCC) Bw. John Tuppa; kuishauri kamati yake ili iwatumie walimu wastaafu kufundisha shule za sekondari za kata. – Barua ya MED yenye maombi hayo iliwasilishwa kwa Mkuu wa Wilaya kwa lengo la kusaidia kupunguza tatizo la uhaba wa walimu katika shule za kata katika Wilaya ya Dodoma. ...
(Bila tafsiri)
Hariri
MED Hewani Kuanzia Mach 2011. – Asasi ya Marafiki wa Elimu Dodoma (MED) inatarjia kuanza kuendesha vipindi vyake vya Radio kuhusu Elimu kuanzia mwezi Machi, 2011. Wanachama wa MED na wadau wote wa Elimu wanakaribishwa kushiriki kwenye vipindi hivyo. – Hayo yameelezwa na Mratibu wa MED Bw. Davis Makundi alipkuwa akiongea na mwandishi wa habari hizi ofisini kwake. Bw. Makundi amesema vipindi hivyo vitaendeshwa kwa udhamini wa mashirikaya HakiElimu na...
(Bila tafsiri)
Hariri
Kutoka Mitaani
Kutoka Mitaani
Hariri
Wafadhili
(Bila tafsiri)
Hariri
Wenye Ulemavu Waomba Msaada wa Vifaa. – Watu wenye changamoto za ulemavu wamewaomba wanasiasa kuwasaidia kupata nyenzo mbalimbali kwa ajili ya shughuli zao za kila siku. – Wakiongea kwa nyakati tofauti na MED wanachama wa Chama Cha Viziwi Tanzania (CHAVITA) tawi la Dodoma wamesema; wanasiasa wana nafasi nzuri ya kutetea haki za walemavu kama kweli wakidhamiria kufanya hivyo. – Mwenyekiti wa CHAVITA tawi la Kondoa Bw. Mustafa Shabani amesema watu wenye...
(Bila tafsiri)
Hariri
Matukio Yajayo
(Bila tafsiri)
Hariri
Washirika
(Bila tafsiri)
Hariri