Log in

/M-E-D-1-1/post/107576: English: WI0001FFDD93592000107576:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English

CLUB ZAOMBA MAKTABA, TUISHENI KUNUSURU UFAULU KIDATO CHA  IV, 2012

Na. Davis Makundi

Wanachama wa Club za Marafiki wa Elimu Dodoma kutoka katika shule mbalimbali Mkoani Dodoma wameomba msaada wa kupata walimu na Maktaba za jamii ili kuwanusuru na matokeo mabaya katika mtihani wa kidato cha nne na kidato cha pili mwaka huu.

Wanachama hao ambao ni wanafunzi wa shule za sekondari kutoka katika shule mbalimbali ndani ya Manispaa ya Dodoma wamesema ili kuhakikisha kuwa wanachama wa Club hizo wanakuwa mfano wa kuigwa katika matokeo yao ni vyema uwepo mkakati wa aina yake wa kuongeza ufaulu kwa kuwapatia wanachama hao masomo ya ziada na fursa ya huduma za Maktaba ili kuongeza ufaulu wao.

Maombi hayo ya wana Club yamekuja kufuatia uchambuzi uliofanywa na wanachama hao kwa ushirikiano na MED kuhusu kero ambazo zinawafanya wasifanye vizuri kwenye mitihani yao ya kidato cha pili na ile ya kidato cha nne. 

Wakiongea katika mjadala huo wanafunzi hao wamekiri kuwa juhudi za ziada za kila mwanafunzi zinachangia kwa zaidi ya asilimia 70% kiwango cha 30% kilichosalia kinapaswa kutoka kwa walimu, jamii, wazazi na wadau wengine. "tunajitahidi lakini wadau wengine nao watusaidie kupata vitabu na walimu kwa masomo ya ziada ili tufaulu" alisema Charles Chunga pichani mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya Kikuyu Sekondari.

Wakiunga mkono wazo hilo wanafunzi hao walitoa ombi kwa wadau kuchangia uanzishwaji wa Maktaba za jamii na kutafuta namna ya kuwezesha walimu wa masomo ya ziada ili wanafunzi wasio na uwezo wa kujiunga na Maktaba ya Mkoa na malipo makubwa ya tuisheni wapate huduma hiyo kwa gharama nafuu au bure kabisa pale inapo wezekana. ___________________________________________________________________________

MVUA YAEZUA PAA, MABATI YAANIKWA KWENYE NYAYA ZA UMEME   Na. Baraka Mosi

Mvua iliyoambatana na upepo iliyonyesha juma lililopita imeezua paa la nyumba moja katika Mtaa wa Chidachi Kijiji cha Mkonze Manispaa ya Dodoma na kuiacha familia hiyo ikiwa haina mahali pa kuishi. 

Sehemu kubwa ya paa la nyumba hiyo lililoezuliwa lilisukumwa na upepo na kutua kwenye nyaya za umeme hali iliyo ufanya mtaa huo kukosa umeme kwa muda wa siku mbili mfululizo.

Taarifa zaidi zinasema kuwa hakunamtu aliyejeruhiwa kufuatia tukio hilo lililotokea usimu wa kuamkia jumamosi ya juma lililopita.

___________________________________________________________________________

ULE USEMI WA "MVUMILIVU HULA MBIVU" UMETIMIA          Na. Davis Makundi


Ni kama utani lakini ni kweli imetimia kwa binti Kurwa Martin Ng'ondi mwanafunzi wa kidato cha nne (iv) katika shule ya sekondari Changaa iliyoko katika Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa Mkoani Dodoma. Katika shule hiyo iliyokuwa na wanafunzi watatu (3) wa kidato cha nne wakiwemo wasichana wawili na mvulana mmoja; ni Kurwa pekee aliyehudhuria masomo shuleni hapo mnamo tarehe 4 Aprili, 2011 tulipofanya ziara shuleni hapo.

Akizungumza kwa kujiamini na kuwa na uhakika wa alichikuwa akikisema, Kurwa alituahidi kuwa havunjwi moyo na idadi ndogo ya wanafunzi wa darasa lake na uhaba wa walimu katika shule hiyo bali yeye anacho hitaji ni kuhitimu masmo yake ya kidato cha nne. "najua kuwa nakabiliwa na changa moto ya uhaba wa walimu, idadi ndogo ya wanafunzi na uhaba wa vifaa hapa shuleni; lakini kwangu hili nitakabiliana nalo hadi nimalize masomo ya kidato cha nne" alisema Kurwa."

Ahadi ya binti huyu ilitimia baada ya kuvumilia na kuvuna mbivu zake kwa kufanya mtihani wa kidato cha nne na kuambulia alama 35 ambazo si nzuri kwa wahitimu wetu. Kwa Kurwa yeye angeepuka vipi alama hizi kama darasani wako watatu (wasichana wawili na mvulana mmoja) na shule yake yenye wanafunzi wa kidato cha kwanza hadi cha nne ina walimu watatu?

Kurwa Martin na Zainabu Idi wao walipata alama 35 wakati Yasini Ali yeye alipata alama 33 baada ya kupata daraja D katika masomo ya CIV na GEO. Uvumilivu wa vijana hawa na matokeo yao ni kichocheo kwa vijana wote walio katika shule zetu za kata kutambua kuwa licha ya changamoto ya walimu, vifaa, na mazingira magumu ya kujifunzia na kufundishia; wanapaswa kufanya juhudi za ziada ili kufikia malengo yao. ___________________________________________________________________________

ZAOMBA CLUB LIBRARY, TUISHENI help him succeed FORM IV, 2012

And. Davis Groups

Members of the Club of Friends of Education in various schools in Dodoma Dodoma region have asked for help in getting teachers and community libraries to help with test results negative in Form Four and Form Two this year.

Members those who are students of secondary schools from various schools within the borough of Dodoma have said to ensure that members of the Club are to be a role model in their results are better presence strategy of its kind to increase performance by providing members the extra lessons and service opportunities for libraries to enhance their performance.

These applications have the Club came following the analysis done by the members in relation to TO about nuisance which makes them not to do well in their exams and the second form of the Form Four.

Wakiongea the debate when they have admitted that the extra effort of each student to contribute more than 70% remaining at 30% should be from teachers, community, parents and other stakeholders. "We are struggling but other stakeholders and let them help us get books and teachers for extra lessons to tufaulu" said Charles Chunga pictured Form Three student in secondary school Kikuyu.

From supporting the idea that the disciples made the request for stakeholders to contribute to the establishment of the library community to seek ways of enabling teachers to extra lessons to students who do not have the ability to join the Library of Regional and a great reward for tuisheni to the service at low cost or free all there when possible. ___________________________________________________________________________

RAINFALL YAEZUA MPAA, tin YAANIKWA electrical cables and AT. First Blessing

Iliyoambatana rain and wind last week imeezua iliyonyesha roof of one house in the Street The Village of Mkonze Chidachi Dodoma Municipality of leaving the family if it has a place to live.

A large part of the roof of the lililoezuliwa lilisukumwa the wind and fell on electrical wires made the local situation the lack of electricity for two consecutive days.

Additional information indicate that there namtu injured following the incident occurred on Saturday greeted the season last week.

___________________________________________________________________________

The expression of "tolerance Hula ripe" UMETIMIA And. Davis Groups


It's like a joke but is actually fulfilled by the daughter of Martin Ng'ondi Kirwa Form Four student (iv) in high school myself embodied in Kondoa District Council in Dodoma region. In the school and students was three (3) of Form Four, including two girls and one boy, is only Kirwa who attend school on April 4, 2011 we made the trip to school there.

Speaking with confidence and be sure he was saying, Kirwa had promised that vunjwi the heart and the small number of students of his class and a shortage of teachers in the school but she simply needed a graduate masmo its fourth form. "I know that nakabiliwa challenges of shortage of teachers, a small number of students and inadequate facilities here at school, but I struggling with this for me to finish school form four" Kirwa said. "

This promise was fulfilled when the daughter of the bear and harvest its ripe for an examination of Form Four and none mark 35 which is not good for our graduates. For Kirwa how he would avoid these signs as your class three (two girls and one boy) and his school with pupils in forms one to four has three teachers?

Marwa Martin and Zaynab Idi they score 35 when the grass Ali she received 33 marks after getting grade D in the study of CIV and GEO. The patience of these young people and their results is a recipe for all those young people in our schools of the county to realize that despite the challenges of teachers, equipment, and vulnerable to learning and teaching, they should make extra efforts to reach their goals. ___________________________________________________________________________


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
March 23, 2012
ZAOMBA CLUB LIBRARY, TUISHENI help him succeed FORM IV, 2012 – And. Davis Groups – Members of the Club of Friends of Education in various schools in Dodoma Dodoma region have asked for help in getting teachers and community libraries to help with test results negative in Form Four and Form Two this year. ...
Google Translate
March 8, 2012
ZAOMBA CLUB LIBRARY, TUISHENI help him succeed FORM IV, 2012 – And. Davis Groups – Members of the Club of Friends of Education Dodoma Dodoma from different schools in Dodoma region have asked for help in getting teachers and community libraries to help with test results negative in Form Four and Form Two this year. ...
This translation refers to an older version of the source text.