Fungua

/M-E-D-1-1/post/105745: Kiswahili: CMuOGnEVJblduinloQBo0iXG:content

« Iliyotangulia   ·   Ifuatayo »
Asili (Kiswahili) Kiswahili
sasa ni muda kwa watanzania kuwa makini mara mbili na zaidi ya tulivyokuwa mwanzo, hasa hasa katika kujadili mswada huu maana jambo la msingi la kufahamu ni kwamba muswada ukikubalika na wananchi kisha kupitishwa na Bunge la Jamuuri ya Muungano ya Tanzania na kusainiwa na rais wa nchi, basi uwa SHERIA kamili itumikayo ndani ya eneo au nchi husika katika jambo husika, na linapofanikiwa ilo basi SHERIA haijadiliwi tena bali inafuatwa.
(Bila tafsiri)

Ili kuhariri tafsiri, lazima ufungue. Fungua · Jiandikishe