Envaya

/m-e-d-1-1/post/8234: English: WI000056B20C9E0000008234:content

Base (Swahili) English

Kero ya Maji Kikuyu Hadi lini?

Wakazi wa kata ya Kikuyu Kusini Manispaa ya Dodoma hawajui hatima yao dhidi ya kero ya maji wanayo endelea kuipata kwa miongo kadhaa hadi sasa. wakazi hao wamekuwa wakitumia maji ya visma vifupi yasiyo safi wala salama kwa kipindi kirefu imeelezwa.                                                       

Kama picha inavyoonesha hapo juu; wakazi hawa wamedai kuwa wameishi katika kata ya Kikuyu kwa zaidi ya miaka ishirini na matumaini pekee waliyo nayo kuhusiana na maji ni visima vifupi wanavyo vitumia katika eneo hilo lenye wakazi wa kipato cha kati.

Licha ya kukubali kupigwa picha na kukataa kutaja majinayao; wakazi hao wameeleza kuwa wamedumu kwenye eneo hilo tangu enzi za diwani mkongwe wa eneo hilo Al-maarufu Mkungugu Marehemu Mloge aliyedumu kwenye udiwani wa eneo hilo kwa awamu nne; Meya mstaafu wa Manispaa ya Dodoma na Diwani wa eneo hilo Mh Francis Mazanda na baadaye Kata hiyo ilimpata Diwani ambaye walimtaja kwa jina  la Baba Jofu ambaye alichaguliwa katika uchaguzi wa 2010 lakini alifariki dunia kabla ya kuapishwa.

Wakazi hao wamedai kuwa eneo hilo limesahaulika kwa kipindi kirefu kwa huduma hiyo muhimu licha ya ahadi kede-kede zinazotolewa na viongozi mbalimbali wa kisiasa na serikali kila wakati kuwa watatatua kero hiyo.         

Wakazi hao wameeleza kuwa maji hayo yanayo patikana kwenye visima vifupi vilivyopo kando ya barbara ya Iringa hatua chache kutoka stendi ya daladala za Kikuyu si safi wala salama kwa matumizi ya binadamu.

Eneo la Kikuyu ni miongoni mwa maeneo yenye uhaba mkubwa wa huduma ya maji safi na salama  jambo ambalo linasababisha usumbufu mkubwa kwa wakazi wa eneo hilo kwa kulazimika kutumia muda mrefu kutafuta maji.                                                                                                                                                                                                                              

Harassment of Water Kikuyu Until when?

Residents of the county of South Kikuyu Dodoma Municipality do not know their fate against the nuisance of water that they continue to find it for decades until now. These residents have been using water wells and non-clean safely for long periods indicated.

As the picture shows above, these residents have claimed to have lived in the county of Kikuyu for over twenty years and the only hope they have related to water are shallow wells they use in the area a middle-income residents.

Despite accepting stripes pictures and refused to mention majinayao, local people have mentioned that they remain in the area since the era of Councillor veteran of the area Al-popular Mkungugu late Mloge who dwell on the council's area in four phases: Mayor retired Municipal Dodoma and Councillor The Hon Francis Mazanda area and later it ilimpata Ward Councillor who referred to the name of the Father Jofu who was elected in the elections of 2010 but died before the inauguration.

Residents have been demanding that the area limesahaulika long for essential services in spite of promises kede-kede provided by various political leaders and government every time that they will solve the grievance.

Residents have been described as the water remains shallow wells located along the Iringa Barbara a few steps from the bus stand of Kikuyu are not pure and safe for human consumption.

Zone Kikuyu are among the most severe shortage of water supply clean and safe which causes great inconvenience to area residents forced to spend time looking for water.


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
November 8, 2011
Harassment of Water Kikuyu Until when? – Residents of the county of South Kikuyu Dodoma Municipality do not know their fate against the nuisance of water that they continue to find it for decades until now. These residents have been using water wells and non-clean safely for long periods indicated. (image) – As the picture shows above, these residents have claimed to have lived in the county of Kikuyu for over twenty years and...
Google Translate
February 27, 2011
Harassment of Water Kikuyu Until when? – Residents of the county of South Kikuyu Dodoma Municipality do not know their fate against the nuisance of water have continued to find it for decades until now. These residents have been using the SMA shallow water clean and safe for non-period indicated. (image) – As the picture above inavyoonesha, these residents have claimed to have lived in the county of Kikuyu for over twenty...
This translation refers to an older version of the source text.