Fungua

/MpalanoCDO/news: Kiswahili

AsiliKiswahili
(image) – Mwananchama wa Mpalano,Ndugu Nuru akichangia agenda kwenye Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Mpalano CDO uliofanyika Sawe Hotel, Dar es Salaam, Februari 2014(Bila tafsiri)Hariri
(image) – Sehemu ya mandhari ya Mto Mbaka unaoanzia kama chemchemi za Mlima Rungwe wilaya Rungwe na kutiririsha maji yake katika Ziwa Nyasa. Pongezi kwa Serikali na wakazi wa wilaya za Rungwe na Kyela kwa kuyatunza Mazingira yanayozunguka mto huo. Jitihada zaidi zinahitajika kuendelea kuhifadhi utajiri huu maridhawa. Picha na Adam Gwankaja.(Bila tafsiri)Hariri
UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA – La Mgambo limelia… – (image) Kesho Jumamosi tarehe Novemba 22, saa mbili mpaka saa tatu asubihi, siku moja kabla ya kuanza zoezi la kuandikisha orodha ya wapiga kura, Mratibu wa Asasi ya Mpalano CDO, ataruka live katika kipindi cha TUWEKANE SAWA Cha redio ya Ushindi FM 98.6 ya mjini Mbeya, kufafanua masuala mbali mbali kuhusiana na uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika...(Bila tafsiri)Hariri
DESEMBA 14, 2014- – UCHAGUZI NGAZI ZA CHINI ZA SERIKALI ZA MITAA – "Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya) Sura 287 (kwa Mamlakaza Wilaya) na Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Miji) Sura 288 (kwaMamlaka za Miji) zinaelekeza kuwa Uchaguzi wa Viongozi wa Mitaa, Vijijina Vitongoji hufanyika klabaada ya miaka mitano (5). – Kwa mwaka 2014, uchaguziwa Wenyeviti wa Vijiji, Vitongoji, Mitaa;Wajumbe wa Halmashauri zaVijiji, na Wajumbe wa...(Bila tafsiri)Hariri
(image) – AMANGULUNGULU- Matunda pori maarufu katika wilaya za Kyela na Rungwe. Yakikomaa na kuiva tayari kwa kuliwa hubadilika rangi na kuwa kahawia. Kutokana na uharibifu wa mazingira, MANGULUNGULU ni miongoni mwa matunda yanayoweza kutoweka kabisa. Picha na Adam Gwankaja(Bila tafsiri)Hariri
(image) – Mpalano jijini Mbeya. Vikundi vya ngoma kutoka maeneo mbali mbali ya mkoa wa mbeya vilialikwa kushiriki.(Bila tafsiri)Hariri
(image) – Baadhi ya Wajumbe waliohudhuria Mkutano Mkuu wa Mpalano CDO(Bila tafsiri)Hariri
(image) – Mwenyekiti wa Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Mpalano CDO,Ndugu Andulile akiweka mambo sawa kwenye mkutano huo.(Bila tafsiri)Hariri
(image) – Mratibu wa Miradi wa Mpalano CDO, Ndugu Edson akitoa taarifa ya zoezi la kubainisha hali halisi ya shughuli za kitamaduni katika wilaya za Kyela na Rungwe, Mbeya Tanzania.(Bila tafsiri)Hariri
(image) – AMANDONGOMILO: Matunda mwitu, katika wilaya za Kyela na Rungwe. Hayaliwi sana, lakini huaminika kuwa na madini ya chuma kwa kiwango kikubwa. Vijana hutumia matunda haya kutega ndege.(Bila tafsiri)Hariri