Kuhusu
Peleleza
Tafuta
Jitolee
Mabadiliko
English
Kiswahili
Kinyarwanda
Fungua
/sedit/topic/24124/add_message
: Kiswahili
Asili
Kiswahili
Kweli kabisa wananchi wa Tanzania wajiunge na mfumo wa VICOBA ili waweze kuondoa umaskini kwa sababu tulio wengi tuna tatizo la kujiwekea akiba ambayo itatufanya tuweze kupunguza tatizo la mitaji na kutatua matizo ya dharura mfano ugonjwa ,ada za shule na tatizo la kiafya.
(Bila tafsiri)
Hariri
Hellow mr Athanas Haule, SOCIAL AND ECONOMIC DEVELOPMENT INITIATIVES OF TANZANIA (SEDIT) asante kwa ujumbe wako wa kuhitaji Huduma za VICOBA. SEDIT tuna utaalamu wa kutosha wa kutoa mafunzo ya VICOBA. Uzoefu wetu ni wa miaka kumi hadi sasa tukiwa tumefanya kazi kwa kushirikiana na mashirika mbalimbali ya ndani na nje ya nchi. Zaidi ya miradi 20 imefanywa nasi katika kipindi hicho cha miaka 10. Watanzania wengi wamepata huduma...
(Bila tafsiri)
Hariri
Ili kujipatia uwezo kuzalisha mali, nyenzo ya fedha inatumika kununua nyenzo/mashine/vifaa vinavyohitajika. Tunaomba mwenye ujuzi wa namna ya kuanzisha VICOBA anisaidie
(Bila tafsiri)
Hariri
Ninashida ya mtaji wakuanzisha biashara, nimemaliza chuokikuu cha Daressalaam mwaka 2013 katika fani ya uongozi. Natamani niwemjasiriamali wakuuza juice za matunda na bidhaa za vyakula. Naomba mnisaidie jamani. Namba yangu ya simu ni 0752922333. Asanteni
(Bila tafsiri)
Hariri
Wananchi tujiunge na VICOBA ili waweze kuondoa umaskini
(Bila tafsiri)
Hariri