Envaya

/SEDIT/topic/24124: English

BaseEnglish
Kweli kabisa wananchi wa Tanzania wajiunge na mfumo wa VICOBA ili waweze kuondoa umaskini kwa sababu tulio wengi tuna tatizo la kujiwekea akiba ambayo itatufanya tuweze kupunguza tatizo la mitaji na kutatua matizo ya dharura mfano ugonjwa ,ada za shule na tatizo la kiafya.True people of Tanzania to join the system VICOBA order to eliminate poverty because we have many problems which itatufanya store might reduce the problem of capital and to solve urgent problems like illness, school fees and health problems.Edit
Hellow mr Athanas Haule, SOCIAL AND ECONOMIC DEVELOPMENT INITIATIVES OF TANZANIA (SEDIT) asante kwa ujumbe wako wa kuhitaji Huduma za VICOBA. SEDIT tuna utaalamu wa kutosha wa kutoa mafunzo ya VICOBA. Uzoefu wetu ni wa miaka kumi hadi sasa tukiwa tumefanya kazi kwa kushirikiana na mashirika mbalimbali ya ndani na nje ya nchi. Zaidi ya miradi 20 imefanywa nasi katika kipindi hicho cha miaka 10. Watanzania wengi wamepata huduma...Hellow mr Athanas Haule, SOCIAL AND OF TANZANIA Economic Development Initiatives (SEDIT) thank you for your message of need VICOBA Services. SEDIT we have enough expertise to train VICOBA. Our experience is ten years until now we have worked in collaboration with various organizations inside and outside the country. More than 20 projects made ​​us the period of 10 years. Most Tanzanians have received our services more successfully....Edit
Ili kujipatia uwezo kuzalisha mali, nyenzo ya fedha inatumika kununua nyenzo/mashine/vifaa vinavyohitajika. Tunaomba mwenye ujuzi wa namna ya kuanzisha VICOBA anisaidieTo gain the ability to produce wealth, the money used to purchase materials materials / machinery / equipment needed. We master the skills of how to help establish VICOBAEdit
Ninashida ya mtaji wakuanzisha biashara, nimemaliza chuokikuu cha Daressalaam mwaka 2013 katika fani ya uongozi. Natamani niwemjasiriamali wakuuza juice za matunda na bidhaa za vyakula. Naomba mnisaidie jamani. Namba yangu ya simu ni 0752922333. Asanteni(Not translated)Edit
Wananchi tujiunge na VICOBA ili waweze kuondoa umaskiniThe people we associate with VICOBA order to eliminate povertyEdit