Fungua

/tawa/post/107745: Kiswahili

AsiliKiswahili
Tunasikitika kuona familia hizo ambazo serikali haijazishugulikia wakati wenzao waliopata tatizo kama la kwao wakiwa Mabwepande ,bado wanategemea kupatwa na maafa zaidi ya yale ya mwanzo.Hivyo asasi za kitaifa na kimataifa tunawaomba waingilie kati suala hili watu hawa wanusurike.(Bila tafsiri)Hariri
Katika janga hili tunajua kabisa waathirika wakubwa ni wanawake ,watoto , wazee pamoja .na walemavu.(Bila tafsiri)Hariri
Ni bora kuziba ufa kuliko kujenga ukuta ,kwa hali yoyote familia hizo zipate wanaharakati watakao jitolea kupaza sauti ili kupatikane ufumbuzi wa haraka na wakudumu ili tusiwe kila siku tunarudia suala hilo hilo .(Bila tafsiri)Hariri
IDARA YA HALI YA HEWA YATAHADHALISHA WAKAZI WA MABONDENI – Wakati matatizo ya awali yaliyowapata wananchi waishio mabondeni kutokana na mafuriko hayajapatiwa ufumbuzi , hasa wakazi wa Keko mwanga Magulumbasi A na B ,Mission kizinga msikitini ,Tabata Kisukuru na wengineo ,tahadhali imetoka katika idara ya hali ya hewa kwamba kutakuwepo na madhala makubwa kutokana na mvua za vuli zitakazonyesha kwa muda mfupi.Hii ni pamoja na kuwepo kwa magonjwa ya...(Bila tafsiri)Hariri
Add a commentOngeza maoniHariri
Your email:Email yako:Hariri
Your email address will not be published.Anwani yako ya email haitachapishwa.Hariri
Your location:Mahali ulipo:Hariri
%s said:%s alisema:Hariri
(optional)(sio lazima)Hariri
Publish commentChapisha maoniHariri
CommentsMaoniHariri
MarchMachiHariri
{month} {day}, {year}{day} {month}, {year}Hariri
DiscussionsMajadilianoHariri