Log in

/nyedaco/topic/61865: English: dM00014E419E3E4000067660:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English

@Godlisten Msanapenda kuchangia katika hili tunapokosea sisi ni sehemu moja tu kwamba unatibu malaria baada ya kuangamiza mazalia ya mbu kwani ndio chanzo cha kuenea kwa malaria. vile vile elimu haitolewi ipasavyo upotoshaji unakuwepo mkubwa ambao unawafanya watu wasiokuwa na elimu kudharau kinga zinazotolewa na serikali kwa mfano (chandarua) kuna baadhi ya watu wanasema zina madhara kwa binadamu bila kufanya utafiti wowote na jinsi ninavyofahamu jamii kubwa ya vijijini elimu ni ndogo kama mtu atapotosha jambo basi ni rahisi kuenea. vile vile kuna umuhimu wa vyombo vya habari kujikita zaidi vijijini ambako ndio kuna madhara makubwa zaidi na sio kubaki mjini ningeomba serikali na wadau wa habari walione hilo watoe elimu kwa wanainchi wa vijijini zaidi kwa kuwa mjini wameelimika kiasi fulani.ki (Nyengedi): 

@ Godlisten Msanapenda we contribute to this wrong, we are only one part that you treat malaria after destroying the breeding of mosquitoes as the source of the spread of malaria. such as education is not available appropriately fabrication is in place, hence make people uneducated to undermine protection provided by the state for example (net) some people say are harmful to humans without doing research any way I know a great multitude of rural education is as small as one would pervert then it is easy to spread. as well as the need for the media to focus on rural areas, where are there more serious consequences and not stay in I would ask the government and stakeholders in the information they perceive it to give education to the country's rural areas than in that city are educated about fulani.ki (Nyengedi):


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
October 18, 2011
@ Godlisten Msanapenda we contribute to this wrong, we are only one part that you treat malaria after destroying the breeding of mosquitoes as the source of the spread of malaria. such as education is not available appropriately fabrication is in place, hence make people uneducated to undermine protection provided by the state for example (net) some people say are harmful to humans without doing research any way I know a great multitude of rural education is as small...