Fungua

/mzalb/topic/123247: Kiswahili: dMR7KN1hwUnDqetlAj4bzTcS:content

« Iliyotangulia   ·   Ifuatayo »
Asili (Kiswahili) Kiswahili

Walimu wote wa shule za sekondari  Manispaa ya Mtwara wamekigomea chama cha walimu  Tanzania(CWT)! Walimu hao wamekigomea chama hicho wakidai makato makubwa hali inayowaongezea ugumu wa maisha! Je, ni sawa? 

(Bila tafsiri)

Ili kuhariri tafsiri, lazima ufungue. Fungua · Jiandikishe