About
Explore
Search
Volunteer
Updates
English
Kiswahili
Kinyarwanda
Log in
/mzizifoundation/topic/122477/add_message
: English
Base
English
Kila uchao vijana wanahangaika katika kujikwamua na changamoto mbalimbali zinazowahusu. vijana wanapambana na matumizi ya madawa ya kulevya, ukatili wa kijinsia, changamoto mbalimbali za kielimu katika shule zetu, kasi ya maambukizi ya vvu nk. – katika nchi yetu vijana wanaongoza kwa zaidi ya asilimia 60% kwa kasi ya ongezeko la maambukizi ya vvu. hii inasababishwa na vijana wengi kukosa nafasi ya kujifunza kuhusu haki za afya ya uzazi na ujinsia ikiwemo changamoto za kiutamaduni...
Every waking young people are struggling in various challenges to get rid of and about them. young people struggling with drug addiction, violence, educational challenges in our schools, the rate of HIV infection etc.. – youth in our country lead by more than 60% increase in speed of transmission of HIV. This is caused by many young people lack the opportunity to learn about reproductive health rights and sexuality, including those that allow the cultural challenges of parents...
Edit
Safi sana vijana wa Mzizi........ – Hongereni sana kwa hatua hii, yaonyesha ni jinsi gani ambavyo mko makini katika kutetea Haki za Afya zya Uzazi na Ujinsia kwa vijana wenzenu – Sijawasahau, hata ninyi pia mwajitetea kwani mnahusika moja kwa moja...... – Kila kitu chawezekana penye nia ....... – Haki za AFYA YA UZAZI NA UJINSIA KWA KIJANA KUTETEWA ni muhimu kama kweli twahitaji vijana wenye kujiamini na...
Very clean young root ........ – Hongereni for this step, which shows how careful you are to defend the Rights of Reproductive Health and Sexuality zya your fellow youth – Sijawasahau, even as ye yourselves also mwajitetea directly involved ...... – Everything is possible at the mind ....... – Rights REPRODUCTIVE HEALTH AND GENDER FOR YOUTH remedy is really important as we need young people confidence to manage...
Edit
Hongereni sana, pamoja na matatizo mliyo nayo njia pekee ya mafanikio msikate tamaa endeleeni kujitangaza na kushirikiana na asasi mbalimbali pamoja na mamlaka husika
Hongereni too, along with the problems you now have the only way to successfully give up continue to promote and cooperate with various institutions and authorities
Edit
Hongera mwanangu report yako ni nzuri sana nimeipenda, tupo pamoja tutasaidiana Ahsante sana
Congratulations to my son, your report is very good I like it, we are together we help each other Thank you
Edit
Haya bwana,tumeaona ila serikali yawezekana haiwatambui!Au mmefanya juhudi /nini kuijulisha serikali
These master, but the government may have Aona not iwatambui! Or, do you make an effort / what to notify the government
Edit
@Mzizi Cultural Troup (Iringa): – HAKI NA WAJIBU – Kijana anaye taka kupata haki ya afya ya uzazi ni lazima akumbuke kuwa ni wajibu wake kulinda afya pia. Wajibu wa kulinda afya ni wa kila mmoja wetu. – Dr Clifford Majan – ABHASU
@ Roots Cultural Troup (Iringa): – RIGHTS AND RESPONSIBILITIES – The boy who wanted to get right to reproductive health must remember that it is his duty to protect the health as well. Responsibility to protect the health of everyone. – Dr. Clifford jan – ABHASU
Edit
Karibu kwenye kilele cha siku ya mtoto wa Afrika tarehe 16/06/2012? Hii pia itatangaza kazi zenu kwa umma hasa vijana au vipi? Unakaribishwa kushiriki kikao cha tarehe 4/06/2012 kwa ajili ya maandalizi ya siku ya mtoto wa Afrika.
Near the summit of the African child's day on 16/06/2012? This also will tell of your work to the public, especially young or what? You are welcome to share session on 4/06/2012 for the preparation of the African child.
Edit
hongela dr vijana tunapotea
(Not translated)
Edit
Naomba msaada kwenu wadau wa maendeleo na Afya hususani Afya ya uzazi na haki kwa vijana. – Vijana tupo katika hali mbaya ambayo mara nyingi hupelekea mimba za utotoni,watoto wasio tarajiwa na hata wengi wao kuishia kuwa watoto wa mitaani. ikumbukwe kuwa si wote wanaopata mimba wamekusudia kupata mimba. – Ulimwenguni kote kwa mujibu wa Shirika la kimataifa la Women Global Network for Reproductive Health (WGNRR) Makadirio ya zaidi ya mimba 41.6 milion duniani...
May I help you with health development partners, especially reproductive health and rights for young people. – Youth we are in bad condition which often leads to teenage pregnancy, children who expected and even most of them end up as street children. remembered that not all who get pregnant are determined to get pregnant. – Worldwide, according to the international agency of the Women Global Network for Reproductive Health (WGNRR) estimates more than pregnancy...
Edit
Afya ya uzazi ni haki ya kijana je? tutaweza kuitetea kwa kutumia mazingira yetu ya asili?
Reproductive health is the right boy do? we can defend the use of our natural environment?
Edit