Envaya

/OLAI/news: Kinyarwanda

BaseKinyarwanda
(image) – Ni ndg. Hassan Luheko Mnaute(Not translated)Hindura
(image) – Aliyesimama na kipaza sauti ni Ndg. Hassan Luheko Mnaute, akihutubia katika mkutano wa hadhara wa uhamasishaji kuhusu Sheria Na. 5 ya Ardhi ya vijiji ya mwaka 1999 kwa wananchi wa kijiji cha Likolombe kilichopo Halmashauri ya wilaya ya Tandahimba mkoa wa Mtwara - Tanzania, wakati wa utekelezaji wa mradi uliofadhiliwa na The Foundation for Civil Society (FCS).(Not translated)Hindura
(image) – Mwenyekiti wa Organization for Land and Agriculture Improvement(Not translated)Hindura
(image) – Ndg. Hassan Luheko Mnaute.(Not translated)Hindura
(image) – Ndg. Hassan Luheko Mnaute akifafanua jambo la mwezeshaji Mdg. Feruz kutoka idara ya ardhi, wilaya ya Tandahimba katika mkutano wa kupitisha mpango wa matumizi bora ya ardhi, wakati wa utekelezaji wa mradi wa kuwajengea uwezo wananchi, wajumbe wa mabaraza ya ardhi ya vijiji na kata, kuhusu Sheria Na. 5 ya Ardhi ya vijiji ya mwaka 1999, na kanuni za Ardhi za mwaka 2002, katika ukumbi wa Parish holl uliopo Luagala, Wilaya ya Tandahimba mkoa wa Mtwara -...(Not translated)Hindura
(image) – Ndg. Hassan Luheko Mnaute, mratibu wa miradi inayotekelezwa na OLAI.(Not translated)Hindura
(image) – Ndg. Hassan Luheko Mnaute, mratibu wa mradi wa kuwajengea uwezo wananchi kuhusu Sheria Na. 5 ya ardhi ya vijiji ya mwaka 1999, kwa ufadhili wa Foundation for Civil Society (FCS), mradi wenye thamani ya Tshs. 51,990,000/=(Not translated)Hindura
Wadau, ni muhimu kuelezana wazi kuwa, Asasi za kiraia (NGOs) zilizo nyingi hasa ndogo ndogo vijijini (Plot farm) hazina mihimili maalum ya kujipatia mapato ili kuziwezesha kuujenga uchumi imara na kumudu kutekeleza shughuli mbalimbali za kiasasi ili kuyafikia malengo yake. Mitaji mikubwa ya Asasi hizi ni michango na ada za wanachama wa Asasi hizo. Kwa namna yeyote, ni wazi kuwa Asasi hizi zitakuwa tegemezi hasa katika ruzuku ili ziwe na uwezo japo posho tu za watumishi wake. Bila ruzuku ndio...(Not translated)Hindura
(image) – Ni ndg. Hassan Luheko Mnaute, kiongozi wa OLAI, akisisitiza jambo la mwezeshaji katika mkutano wa hadhara wa uhamasizaji Ndg. Feruz kutoka idara ya ardhi ya wilaya Tandahimba, kuhusu kuizingatia sheria 5 ya ardhi ya vijiji ya mwaka 1999 katika kijiji cha Nachunyu kilichopo wilayani Tandahimba, mkoani Mtwara - Tanzania.(Not translated)Hindura
(image) – Ndg. Hassan Luheko Mnaute, mwenyekiti wa Organization for Land and Agriculture Improvement (OLAI)(Not translated)Hindura