chawaumavita ni mshiriki wa kongamano la kimataifa kuhusu birth defects international conference birth defects 2015 linaofanyika katika hoter ya Serena kuanzia tarehe 21.09.2015 hadi 24.09.2015 – Mgeni rasmi alikuwa mh makamu wa Raisi Dr Mohammed Gharib Bilal ambaye aliufungua rasmi jana jumatatu 21.09.2015. – (image) (image) | (Not translated) | Edit |