Envaya
/kgcd/news
: Kinyarwanda
Base
Kinyarwanda
(image) – Katika utekelezaji wa shughuli zetu tuliweza kutembelea Ofisi za Serikali kujitambulisha na Mkurugenzi wa Kijogoo Group akisaini kitabu cha wageni kwenye Ofisi ya Afisa Mtendaji kata ya Nawenge
(Not translated)
Hindura
Habari wadau wote wa maendeleo,kwanaza poleni sana na harakati za kila siku za kuleta maendeleo hapa nchini kwetu, – Asasi yetu inatekeleza mradi wa uwajibikaji wa jamii katika kufuatilia rasilimali za umma sekta ya afya wilaya ya ulanga tarafa ya vigoi kata za msogezi na nawenge,tulianza na shuguli ya kuendesha mafunzo kwa viongozi na watendaji wa serikali,wananchi wa kawaida na wajumbe wa kamati za afya kutoka vijiji vya kata husika za mradi na baada ya mafunzo hayo tumeendesha...
(Not translated)
Hindura
(image) – Pichani aliye simama ni Mkurugenzi wa Kijogoo Group For Community Bwana Ramadhan Omary Akitoa maelezo kuhusu mradi wa Ufuatiliaji wa Uwajibikaji wa Jamii Sekta ya Afya kwa washiriki wa mafunzo hayo 40 kutoka Kata ya Nawenge
(Not translated)
Hindura
(image) – Washiriki wa mafunzo haya wakiwa darasani kusikiliza mada zinazowasilishwa kwao
(Not translated)
Hindura
(image) – Afisa Maendeleo ya Jamii Wilaya ya Ulanga akifungua mafunzo ya siku 4 kwa Wananchi,Viongozi wa serikali za Mitaa,Wajumbe wa Kamati za Afya za Kata na wadau wa Afya ambayo yameandaliwa na Shirika la Kijogoo Group Kwa Ufadhili wa The Foundation For Civil Society ya Dar Es Salaam
(Not translated)
Hindura
(image) – Katika Jambo lolote lile changamoto hazikosekani,hapa usafiri tuliokuwa tukiutumia umenasa kwenye tope zito baada ya miundo mbinu ya barabara kuharibika vibaya kutokana na mvua zilizokuwa zikinyesha wakati huo
(Not translated)
Hindura
Habari wadau,napenda kuchukua fursa hii ya kipekee kwa kutoa taarifa kwa wadau wote wapenda maendeleo nchini kwetu Tanzania. – ikumbukwe kuwa mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi mkuu,hivyo wadau yatuoasa tuwe mstari wa mbele kwa kuielimisha jamii iliyojiandikisha ijitokeze kupiga kura siku ya uchaguzi ambapo ni tarehe 25 oktoba 2015, na tuhamasishe wananchi kuwa uchaguzi huu uwe wa AMANI na HURU kwani amani ndio njia pekee ya kudumisha amani na utulivu Nchi yetu ya Tanzania. ...
(Not translated)
Hindura
(image) – Timu ya ufuatiliaji wa maendeleo na matokeo ya mradi kutoka Kijogoo Group ikiongozwa na Mkurugenzi wake Bwana Ramadhan Omary,Bwana Rajabu Msumi,mwandishi wa habari Bwana Thadei Hafigwa,Bwana Mohamed Nguku na Bi Ignita pamoja Bi Christina Mdaku wakifanya mahojiano na mtu mmojammoja na vikundi
(Not translated)
Hindura
(image) – Bwana Thadei Hafigwa mwandishi wa habari za makala tunayemtumia katika utekelezaji wa shughuli zetu akiwa darasani kufuatilia kwa umakini ili apate ya kuandika ni mwandishi wa Gazeti la Jambo Leo
(Not translated)
Hindura
(image) – Hii picha ya Pamoja kati ya Mkurugenzi wa Kijogoo Group for Community Development Bwana Ramadhan Omary aliye chuchumaa mbele Akiwa na timu ya UUJ/SAM iliyotokana na mafunzo yaliyotolewa na shirika hilo Wilayani Ulanga .Wajumbe hao Wametoka Kata za Nawenge na Msogezi
(Not translated)
Hindura