Log in

/TEYODEN/news: English: WIMFW1ZyiRUG4cXH3DgUUbR8:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English

TEYODEN NA TRA MAKAO MAKUU WAFANYA MAFUNZO KWA VIJANA 100, KUHAM ASISHA URASIMISHAJI WA BIASHARA NA ULIPAJI WA KODI.

Tunasema kuwa hakuna wakati ambao vijana wanahitaji kuongeza juhudi za kujiajiri wenyewe kuliko kipindi hiki.Vijana wengi sasa wameanzisha biashara ili waweze kukidhi mahitaji ya kila siku ya maisha.

Upo umuhimu mkubwa wa vijana kupata elimu mbalimbali ili waweze kundesha biashara zao vizuri ikiwemo elimu ya ujasiriamali,stadi za masha,umuhimu wa usajili wa biashara na ulipaji wa kodi.Mafunzo haya huwafanya waweze kufanya biashara kwa utaratibu na kufuata sheria na kupunguza hatari za kuchukuliwa kama wanavunja sheria na kuhadhibiwa.

Mtandao wa vijana Manispaa ya Temeke(TEYODEN) na Tanzania Revenue Athority(TRA) tumeshirikiana kuwezesha mafunzo ya siku 1 kwa vijana 100 wafanyabiashara kutoka kata 30 za Manispaa ya Temeke.Mafunzo haya yamefanyika katika ukumbi wa Chuo cha utalii,kilichopo Tandika,Temeke Dar-es-salaam.Pamoja na mambo mengine vijana walijifunza umuhimu wa kusajili biashara,umuhimu wa kulipa kodi na elimu ya ujasiriamali.

TRA na TEYODEN tutaendelea kuelimisha wafanyabiashara vijana ndani na nje ya Temeke ili kuwawezesha kufanya biashara kwa uhakika na kuleta tija kwao na kwa vijana wengine.

TEYODEN TRA HEADQUARTERS AND TRAINING FOR YOUTH CHAMBER 100, ham ASISHA formalization Repayment BUSINESS AND TAX.

We say that there is a time when young people need to increase efforts to be self-employed than hiki.Vijana many years now have set up businesses in order to meet the demands of daily life.

There is great importance of youth to education in order they kundesha their business well, including entrepreneurial education and skills to life, the importance of business registration and payment of kodi.Mafunzo This makes them able to do business in order to follow the rules and reduce the risk to be taken as they break the law and kuhadhibiwa.

Network of young Temeke Municipality (TEYODEN) and Tanzania Revenue Athority (TRA) have collaborated to facilitate the training of day 1 to 100 young entrepreneurs from 30 County Municipal Temeke.Mafunzo this happened in the hall of the College of Tourism, located Tandika, Temeke Dar- es-salaam.Pamoja and other things young people learn the importance of registering a business, the importance of paying taxes and entrepreneurial education.

TRA and TEYODEN we will continue to educate young entrepreneurs in and out of Temeke to enable them to do business and make sure their productivity and other youth.


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
April 30, 2013
TEYODEN TRA HEADQUARTERS AND TRAINING FOR YOUTH CHAMBER 100, ham ASISHA formalization Repayment BUSINESS AND TAX. – (image) (image) – We say that there is a time when young people need to increase efforts to be self-employed than hiki.Vijana many years now have set up businesses in order to meet the demands of daily life. – There is great importance of youth to education in order they kundesha their...