Fungua

/copadea/post/4: Kiswahili: CM62mw9xxqGJoIDsX4POWybe:content

« Iliyotangulia   ·   Ifuatayo »
Asili (Kiswahili) Kiswahili

jukumu kubwa la jamii ni kufanya kazi kwa bidii ili kuondokana na janga la umasikini.pia sisis kama sehemu ya jamii tunao wajibu wa kutetea haki za raia kwa kutoa elimu kwa jamii husika.mfano watoto wa kike kukosa nafasi ya elimu .wanapaswa kupewa nafasi sawa na wtoto wa kiume.

(Bila tafsiri)

Ili kuhariri tafsiri, lazima ufungue. Fungua · Jiandikishe