Envaya

/iavc/topic/22876/add_message: English: dM000C8F69FC9F5000024272:content

Base (Swahili) English

@Timothy W. Philemon (Zanzibar): 

Timothy umewaza vizuri saana juu ya kuwa na jengo la mashirika , ila tatizo Tanzania hadi sasa hatuna Mtandao wetu ambao utatuwakilisha ndani na nje ya nchi. kwanini nasema hivi tuliitegemea saana TANGO na NACONGO lakini mabo yapo kimya saana juu ya hili. FSC, UNGO na Mtandao wa Mkoa wa Arusha walianza safari ya kuanzisha mtandao/Apex kwa lengo la kuwa Mtandao wa NGO zote Tanzania hata hivyo shughuli hizo ziliishia na kuzimwa na baadhi ya NGO kuwa na waswasi kuwa watamezwa na mtandao huo na badala yake tukasema kuwa NACONGO iwe ndiyo Apex lakini kasoro yake ni kuwa inaishia ngazi ya mkoa tu na mapendekezo ya NACONGO kuanzia chini yalifanyika lakini hakuna kinachoendelea mpka sasa.Hivyo mimi naamini FCS bado ina nafasi ya kuendeleza Ule mchakato wa APEX ili tupate uwakilishi wa kweli katika ngazi za Kikata, kiwilaya,kimkoa, kitaifa na kiamataifa juu ya mambo yanayohusu maendeleo uwanaharakati Tanzania.

@ Timothy W. Philemon (Zanzibar):

Timothy was well thought saana on a building for organizations, but the problem is now Tanzania to have our network which represents inside and outside the country. why I say we depend saana TANGO and NACONGO but ideas are silent on this saana. FSC, NGO Network Arusha Region started the journey of establishing a network / Apex for the purpose of a network of NGO both Tanzania however such activities ziliishia and quenched by some NGO had waswasi be absorbed by the network and instead we say that NACONGO Apex but it is his fault is that only ends with the provincial level and proposed NACONGO from below were done but nothing was going on FCS mpka sasa.Hivyo I believe still has a chance to develop the process of APEX for our true representation in the level of county, kiwilaya , regional, national and kiamataifa on development issues uwanaharakati Tanzania.


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
June 9, 2011
@ Timothy W. Philemon (Zanzibar): – Timothy was well thought saana on a building for organizations, but the problem is now Tanzania to have our network which represents inside and outside the country. why I say we depend saana TANGO and NACONGO but ideas are silent on this saana. FSC, NGO Network Arusha Region started the journey of establishing a network / Apex for the purpose of a network of NGO both Tanzania however such activities ziliishia and...