Envaya

/iavc/topic/22876/add_message: Kinyarwanda: dM000A158C57478000022877:content

Base (Igiswayire) Kinyarwanda

Napenda kuzungumzia swala nzima linalozikabili asasi mbalimbali Nchini la kukosa majengo ya kudumu. Swala hili limekuwa tatizo kwa asasi nyingi hapa Nchini na kupelekea asasi nyingi kushindwa kufanya shughuli zake kwa ubora unaotakiwa, ukizingatia wafadhili wengi hivi sasa awatowi pesa kwa ufadhili wa ujenzi majengo ya ofisi. Je, swala hili mnafikiri nini kifanyake ili kukabiliana na tatizo nzima la majengo ya kudumu kwa asasi? Naomba mchango wa mawazo katika swala hili, kwa kuwa limekuwa tatizo kubwa kwa asasi nyingi hapa Nchini. Binafsi na kabiliwa na tatizo hilo kwa mda mrefu sasa, hadi nafikia kupoteza mwelekeo washuguli zangu.

(Not translated)

Kugirango ugire icyo uhindura kubyo wasemuye, ugomba kwinjira mu rubuga Injira · Iyandikishe