Log in

/nvrf/topic/123237: English: dMNCmot8dRiz5pbUOMftUOZT:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English
Watanzania wote

Tuelewe kitu kimoja ufumbuzi sio kubadilisha mawaziri kwani watakao badilishwa ni wale wale baada tu ya kubadilisha wafuatwe na mali zao zote ziporwe zirudishwe serikalini kwani mtu kama Ngeleja ukisimamisha leo unajisumbua bure ana vitega uchumi kibao tuangalie mbele zaidi hata wapinzani hawakuwa waadilifu mfano ni Dogo Zotto gari la Thamani kubwa kama Hummer amelinunua kwa fedha gani mshahara wa ubunge au????????????? swali kubwa sasa suluhisho hapa ni katiba Mpya tu basi. NA KWENYE KATIBA NAOMBA JAMBO HILI LIWEKWE KWAMBA MBUNGE AKIPEWA JIMBO AKATOA AHADI ASIPOZITIMIZA BAADA TU YA MUDA WAKE KWISHA ANAPORWA ALICHO VUNA KIPINDI CHA UBUNGE WAKE.



By
Peter kiangi
All Tanzanians

Understand one solution is not changing the ministers as they will be replaced are those only after the change be followed and all their possessions ziporwe returned the government for someone like Ngeleja you stopped today is troubling free holds investments hit us look beyond even the opponents were not just like a Small Zotto's car Hummer has a great value if bought with money or how parliamentary salary????? Now the big question here is the solution New constitution just then. THE CONSTITUTION AND THIS SOMETHING I put AKIPEWA STATE LEGISLATURE THAT PROMISE ASIPOZITIMIZA he carried out only after his life ANAPORWA ALICHO LONG HARVEST PERIOD His MP.



By
Peter Mwangi

In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
May 2, 2012
All Tanzanians – Understand one solution is not changing the ministers as they will be replaced are those only after the change be followed and all their possessions ziporwe returned the government for someone like Ngeleja you stopped today is troubling free holds investments hit us look beyond even the opponents were not just like a Small Zotto's car Hummer has a great value if bought with money or how parliamentary salary????? Now the big question here is the solution New constitution...