Fungua

/VOYOHEDE/news: Kiswahili

AsiliKiswahili
(image) – Mhasibu na Mratibu wa mradi wa UMESE wakifuatilia kwa makini mafunzo ya usimamizi wa mradi kule Dodoma(Bila tafsiri)Hariri
Siku ya vijana duniani, serikali imeainisha mikakati na sera za kuwakwamua vijana? – Nilikuwa kimya nikisikiliza na kufuatilia kwa makini matamko au hutuba zenye mantiki kwa vijana wa Tanzania kutoka serikalini. Nilianza kwa kuingia mtandaoni labda kunachochote nikakaa karibu na redio na kila wakati wa habari nilibadilisha kituo mara hiki mara kile ilimladi nisikie hotuba ya kiongozi yeyote wa serikali akitamka jambo kwa vijana ambao ni nguvu kazi ya taifa lolote...(Bila tafsiri)Hariri
(image)(Bila tafsiri)Hariri
VOYOHEDE inapeda kuwapa taarifa wanaharakati vijana na vijana wote hususani wanaoishi mkoani MTWARA kuwa kutakuwa na kambi ya viana ya KITAIFA itakayofanyika jijini Dar es salaam katika kampasi ya chuo kikuu cha Dar es salaam kuanzia tarehe 29 july 2013. – Kambi hiyo inalengo la kubadilisha fikra za vijana kuhusu ajira na maisha, kambi hiyo imefadhiliwa na kuandaliwa na International Youth Fellowship(IYF) gharama za kuchangia ni Tsh 10000 tu kwa kila kijana, gharama hiyo...(Bila tafsiri)Hariri
UTEKELEZAJI WA MPANGO WA MAFUNZO YA JKT KWA WANAOMALIZA KIDATO CHA SITA NI KUWEKA MATABAKA. – Itakumbukwa kuwa ongezeko la idadi ya watu Tanzania ni kubwa sana,na miongoni mwao ni vijana, wakati serikali inakabiliwa na changamoto ya kuwawezesha vijana kiuchumi kwa kuwahakikishia elimu ilio bora limekuja wazo la kuwapeleka vijana JKT kwa mujibu wa sheria, vijana hawa ni wale tu waliofaulu kidato cha sita wakapata daraja la kwanza na la pili na wale...(Bila tafsiri)Hariri