Injira

/asgohes/post/112155: Kinyarwanda

BaseKinyarwanda
serikali itimize ahadi yake ya kutoa posho ya kujikimu kwa wazee wote nchini kwani wote ni wastaafu wallitumikia taifa lao tena kwa uaminifu mkubwa,vijana wakiyaona maisha wanayoishi wazee sasa wanaweza hamasika kufanya vitendo vya rushwa na ufisadi kwa kisingizio cha kujianda na maisha ya uzee pia sheria atungwe(Not translated)Hindura
wazee mliopo bungeni wazee wenzenu wa vijijini wanawategemea katika kupigania haki zao ,wazee wamefanya mengi katika kujenga taifa mifano ipo wazi,wamejanga miundombinu kama reli ,mashule,pia amani na mshikamano uliopob ni matunda ya wazee(Not translated)Hindura
tTakwimu zinaonesha kuwa idadi ya wazee wataoishi katika mazingira magumu itaongezeka kwa kasi ifikapo mwaka2020 hii ni kutakana na idadi ya vijana wanaoishi kwa kutegemea ajira rasmi inaongezeka wakati urasimishwaji wake ukiwa mdogo(Not translated)Hindura
Ningekuwa nauwezo ningewakutanisha wazee kutoka kila pande ya Tanzania ili wapate fursa ya kupaza sauti zao kwa pamoja kwani wamebaki kama watoto yatima,sisi vijana hali ya maisha ni ngumu ,kwa wazee wasio na nguvu hali ikoje?(Not translated)Hindura
HAKI ZA WAZEE KWA MATAMKO YA SERA YA TAIFA YA WAZEE, MATAMKO YA KIMATAIFA NA CHANGAMOTO ZINAZOWAKABILI WAZEE – Utangulizi: Haki ni stahili anayopaswa kupata mtu, kisheria ama kwa kuzaliwa, haki hiii humpa mtu uhuru wa kutenda au kumiliki (Chanzo:kanuni ya Oxford). – Azimio la umoja wa mataifa namba 46 la mwaka 1991 limeweka bayana kuwa wazee wana haki zifuatazo:(i) kuwa huru...(Not translated)Hindura