About
Explore
Search
Volunteer
Updates
English
Kiswahili
Kinyarwanda
Log in
/AVI-CENTER/news
: English
Base
English
kikundi cha amkeni vijana (KIAVI) Inapenda kuwaalika wadau wote katika uzinduzi wa LIGI YA KIAVI itakayoanza leo jioni saa 9.katika uwanja wa NYALIKUNGU. MNAKARIBISHWA
(Not translated)
Edit
(image) – timu ya KUKURUKA FC ya magu ikiwa katika uwanya wa nyalikungu baada ya kufungwa bao 3 kwa 2 na timu ya KIAVI FC1. hii ni mechi ya kirafiki kwa ajili ya kuwaandaa vijana hawa kushiriki ligi itakayoandaliwa hivi karibuni
(Not translated)
Edit
(image) – HII NI TIMU ILIYOCHINI YA KIKUNDI CHA KIAVI.TIMU YA KIAVI FC(KC1) YA VIJANA WALIO CHINI YA MIAKA 18 WAKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA NA M/K BW GABRIEL .S. NG'OSHA PAMOJA NA KOCHA BW ELIAS KING.TIMU HII ILIIBUKA KW USHINDI WA GOLI 3 KWA 2 BAADA YA KUIFUNGA TIMU YA KUKURUKA FC.ZOTE ZIKIWA NI ZA (W )MAGU MJINI
(Not translated)
Edit
KIAVI inapenda kuwajuza wapendwa wote katika mtandao wa envaya kuwa ligi ya KIAVI inayowahusisha vijana wa miaka chini ya 18,inatarajiwa kuanza jumamosi hii,tutawapa taarifa kila hatua. karibuni sana kwa maoni
(Not translated)
Edit
(image) – hii ni madhali nzuri ya wilaya yetu ya magu-Mwanza,karibuni
(Not translated)
Edit
(image) – ungana nasi katika harakati za kutoa elimu ya afya ya uzazi na mpango katika jamii yetu.ni jukumu letu sote
(Not translated)
Edit
(image)
(Not translated)
Edit
(image) – mchakato wa mechi ilikuwa kama hivi baina ya timu za vijana walio chini ya miaka 18
(Not translated)
Edit
Mwenyekiti wa KIAVI Bw Gabriel S Ng'osha akiwa na timu ya mpira wa miguu ya KIAVI FC 1 pamoja na timu ya mpira wa miguu ya Kike ya KIAVI FC2 (KFC1 & KFC2) wakishangilia ushindi baada ya kuifunga timu ya KUKURUKA kwa goli 3-1. Timu hizi zote zinahusisha vijana walio chini ya miaka 18, na ziko chini ya KIAVI, Nia ni kunyanyua na kuendeleza vipaji vya vijana wetu kuanzia umri mdogo,kwani vijana wengi wanavipaji ila havijulikani wapi vitaenda.timu hizi zina jumla...
(Not translated)
Edit
MCHAKATO WA LIGI YA VIPAJI HUKUZWA NA KULETA UFANISHI YA KIKUNDI CHA KIAVI ILISIMAMA KWA MUDA KUTOKANA KUTOKANA NA BAADHI YA WACHEZAJI KUVUNJIKA MIKONO NA MGUU.HIVYO TUTAENDELEA KUIMALIZIA. NA LEO TUNA MECHI YA KIRAFIKI.
(Not translated)
Edit