Log in

/anppcantzchapter/topic/123265/add_message: English: dMu6X1tbGp3NTZx2xhAEJ2XP:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English

Mfano ulio hai huu hapa chini;

JELA MIAKA 30 KWA KULAWITI MTOTO WA KIUME.

Mkulima wa kijiji cha Ihanja jimbo la Singida Magharibi, Samweli Simon(22), ameukumiwa kifungo cha miaka 30 jela baada ya kukiri kosa la kumlawiti kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 9

Awali mwendesha mashitaka, Magafu alidai mahakamani hapo kuwa juni 12 mwaka huu katika muda ambao haujafahamika, mshitakiwa Simoni alimlawiti mvulana huyo mdogo ( jina limeifadhiwa ) na kumsababishia maumivu makali sehemu yake ya kutolea haja kubwa.

Mwananchi, Alhamisi juni 21, 2012.

(Not translated)

In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register