Fungua

/temoa/news: Kiswahili

AsiliKiswahili
(image) – Practice makes them perfect. English is the medium of instruction, it is a bridge to pass, they must learn how.(Bila tafsiri)Hariri
Departments(Bila tafsiri)Hariri
AJIRA MPYA KWA WALIMU 2015: – A: Orodha ya Walimu na Mafundi Sanifu Maabara Ajira Mpya – Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI inatangaza ajira ya wahitimu wa mafunzo ya ualimu na mafundi sanifu maabara katika mamlaka ya Serikali za Mitaa kama ifuatavyo:- i. walimu wa cheti (Daraja IIIA) kwa...(Bila tafsiri)Hariri
(image) – we encourage girls to participate in English speaking campaign(Bila tafsiri)Hariri
we recognize the significances of education and this serve as our motivation to motivate and promote education in Tanzania rural areas. Most children are vulnerable of ignorance because of massive drop outs in rural primary and secondary schools. we want to motivate these children, we want to raise their awareness, we want to educate them, we want to support them, we want to encourage their way to success and finally challenge them so that they can feel the ownership of the knowledge. The KYELA...(Bila tafsiri)Hariri
Kilimo ndio uti wa mgongo wa Tanzania wote waishio vijijini na ndio chanzo kikuu cha kipato kinachotumika kusomesha watoto wao. Ili kujihakikishia kuwa kila mtoto anapata haki ya kupata elimu ni muhimu kuwahakikishia wakulima kilimo chenye tija na masoko ya uhakika. Kuongeza wataalamu vijijini na kuwaelimisha wakulima namna bora ya kulima kama biashara ili waone manufaa ya kilimo. Lakini haya hatutayafikia kwa Jembe la mkono katu. Jembe la mkono ni mate so na haliwavutii vijana kujiingiza...(Bila tafsiri)Hariri
TEMOA inawatakia waislam wote sikukuu njema ya eid na mwenyezi mungu awajaze rehema na upendo daima. Ujumbe: Mpatie mtoto elimu bora ili amjue mwenyezi mungu kwa haki na kweli. Elimu ni chanzo cha maarifa.(Bila tafsiri)Hariri
(image) – kushot ni makamu mwenyekiti na mwenyekiti wakiwa chuo kikuu cha dar es salaam walipohudhuria mdahaloNkurumah hall(Bila tafsiri)Hariri
AJIRA MPYA KWA WALIMU 2015: – A: Orodha ya Walimu na Mafundi Sanifu Maabara Ajira Mpya – Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI inatangaza ajira ya wahitimu wa mafunzo ya ualimu na mafundi sanifu maabara katika mamlaka ya Serikali za Mitaa kama ifuatavyo:- i. walimu wa cheti (Daraja IIIA) kwa...(Bila tafsiri)Hariri
(image) – Afisa utumishi na fedha wa temoa(Bila tafsiri)Hariri
(image) – The chairman, mr. Bageni attending an intra school debate at sumaye secondary school chato Geita(Bila tafsiri)Hariri