Fungua

/dtg/news: Kiswahili

AsiliKiswahili
(image) – Viongozi wa Dira Theatre Group, kutoka kushoto, Asha waziri, Erasmo Tullo, Deogratius swai na Saada Juma, katika pilika za uelimishaji wa jamii vijijini.(Bila tafsiri)Hariri
(image)(Bila tafsiri)Hariri
(image) – Picha ya pamoja ya viongozi wa Dira Theatre na washiriki wa mafunzo ya sera na sheria za ardhi kutoka vijiji vya kata ya Kimamba,wilayani Kilosa mkoani Morogoro.(Bila tafsiri)Hariri
(image) – Meneja wa Dira Theatre Ndg. Erasmo Tullo (aliyesimama) akitoa maelezo kwa wajumbe wa mabaraza ya ardhi ya vijiji juu ya utekelezaji wa sera na sheria za ardhi.(Bila tafsiri)Hariri
(image) – Timu ya Dira Theatre Group na wasamaria wema wakisaidiana kuinasua gari walilokuwa wakisafiria lililokwama kwenye tope. Hii ni katika kijiji cha Ibindo, wilayani Kilosa.(Bila tafsiri)Hariri
(image) – Diwani wa kata ya Maguha Ndg. Dickson Magoma akieleza jambo kwa washiriki wa mafunzo ya sera na sheria za ardhi (hawapo pichani) yaliyoendeshwa na Dira Theatre kwa ufadhili wa The foundation for Civil Society (FCS).(Bila tafsiri)Hariri
(image) – Picha ya pamoja ya washiriki wa mafunzo ya sera na sheria za ardhi kutoka vijiji vya kata ya Maguha.(Bila tafsiri)Hariri
(image) – Viongozi wa Dira Theatre na washiriki wa mafunzo wakiwa katika picha ya pamoja, kata ya Rudewa, wilaya ya Kilosa, mkoani Morogoro.(Bila tafsiri)Hariri
(image) – Picha ya pamoja ya viongozi wa Dira Theatre na washiriki wa mafunzo ya sera na sheria za ardhi kutoka vijiji vya kata ya Mamboya, wilayani Kilosa.(Bila tafsiri)Hariri
(image) – Timu ya Dira Theatre Group katika harakati za kuifikia jamii vijijini. Hapa wakilazimika kutembea kwa miguu baada ya gari lao kukwama kutokana na ubovu wa barabara. Hii ni kuelekea kijiji cha Inyunywe, wilaya ya Kilosa.(Bila tafsiri)Hariri
CommentsMaoniHariri
MarchMachiHariri
{month} {day}, {year}{day} {month}, {year}Hariri
Kinyarwanda(Bila tafsiri)Hariri
SwahiliALLIANCE FOR SOCIAL CHANGE { UMAKI } ni shirika lisilo la kiserikali na watu wake wa kujitolea ni 1. KENETH MKATA 2. MOHAMED KIZERU 3. MWANAIDI SALIMUHariri