Kuhusu
Peleleza
Tafuta
Jitolee
Mabadiliko
English
Kiswahili
Kinyarwanda
Fungua
/ASGOHES/post/112155
: Kiswahili
1
2
3
Ifuatayo »
Asili
Kiswahili
serikali itimize ahadi yake ya kutoa posho ya kujikimu kwa wazee wote nchini kwani wote ni wastaafu wallitumikia taifa lao tena kwa uaminifu mkubwa,vijana wakiyaona maisha wanayoishi wazee sasa wanaweza hamasika kufanya vitendo vya rushwa na ufisadi kwa kisingizio cha kujianda na maisha ya uzee pia sheria atungwe
(Bila tafsiri)
Hariri
wazee mliopo bungeni wazee wenzenu wa vijijini wanawategemea katika kupigania haki zao ,wazee wamefanya mengi katika kujenga taifa mifano ipo wazi,wamejanga miundombinu kama reli ,mashule,pia amani na mshikamano uliopob ni matunda ya wazee
(Bila tafsiri)
Hariri
tTakwimu zinaonesha kuwa idadi ya wazee wataoishi katika mazingira magumu itaongezeka kwa kasi ifikapo mwaka2020 hii ni kutakana na idadi ya vijana wanaoishi kwa kutegemea ajira rasmi inaongezeka wakati urasimishwaji wake ukiwa mdogo
(Bila tafsiri)
Hariri
Ningekuwa nauwezo ningewakutanisha wazee kutoka kila pande ya Tanzania ili wapate fursa ya kupaza sauti zao kwa pamoja kwani wamebaki kama watoto yatima,sisi vijana hali ya maisha ni ngumu ,kwa wazee wasio na nguvu hali ikoje?
(Bila tafsiri)
Hariri
HAKI ZA WAZEE KWA MATAMKO YA SERA YA TAIFA YA WAZEE, MATAMKO YA KIMATAIFA NA CHANGAMOTO ZINAZOWAKABILI WAZEE – Utangulizi: Haki ni stahili anayopaswa kupata mtu, kisheria ama kwa kuzaliwa, haki hiii humpa mtu uhuru wa kutenda au kumiliki (Chanzo:kanuni ya Oxford). – Azimio la umoja wa mataifa namba 46 la mwaka 1991 limeweka bayana kuwa wazee wana haki zifuatazo:(i) kuwa huru...
(Bila tafsiri)
Hariri
Add a comment
Ongeza maoni
Hariri
Your email:
Email yako:
Hariri
Your email address will not be published.
Anwani yako ya email haitachapishwa.
Hariri
Your location:
Mahali ulipo:
Hariri
%s said:
%s alisema:
Hariri
(optional)
(sio lazima)
Hariri
Publish comment
Chapisha maoni
Hariri
Comments
Maoni
Hariri
March
Machi
Hariri
July
Julai
Hariri
1
2
3
Ifuatayo »