Fungua

/hucade/post/109688: Kiswahili

AsiliKiswahili
Je serikali ya kijiji ina taarifa? Wamechukua hatua gani ? Je wana ndugu wanasemaje ? Familia hiyo ina Baba ? Jaribu kuwasiliana na wanajamii pamoja na kanisa kwa msaada wa haraka. Pia nashauri kuwasiliana na ofisi ya ustawi wa jamii juu ya swala hili. Ni muhimu ufanyike uchambuzi wa hali halisi ya familia hiyo ukijumuisha changamoto na fursa zilizopo. Baadaye wadau wanaweza kuingilia kati.(Bila tafsiri)Hariri
1. Ndiyo serikali ya kijiji ina taarifa na wakati mwingine huwa inawasaidia chakula cha njaa kama kipo. 2. Hana ndugu wa karibu wanaoweza kumsaidia kwani hana baba wala mama na mume wake pia amefariki miaka kama minane iliyopita.Inasemekana kwamba huwa akichanganyikiwa wakati mwingine anawafukuza watoto porini au yeye anaondoka na kupotea hata zaidi ya siku moja nakuwaacha watoto peke yao. Wakati mwingine watoto wanaposahau kufunga mlango wanaingiliwa na fisi na kukimbilia darini hadi asubuhi...(Bila tafsiri)Hariri
(image) – Familia ya mama huyu ambaye ni mjane na mwenye matatizo ya akili anaishi na wanawe wanne akiwa hana msaada. Anaishi kijiji cha Bashay wilaya ya Karatu(Bila tafsiri)Hariri
Add a commentOngeza maoniHariri
Your email:Email yako:Hariri
Your email address will not be published.Anwani yako ya email haitachapishwa.Hariri
Your location:Mahali ulipo:Hariri
%s said:%s alisema:Hariri
(optional)(sio lazima)Hariri
Publish commentChapisha maoniHariri
CommentsMaoniHariri
SeptemberSeptembaHariri
{month} {day}, {year}{day} {month}, {year}Hariri
DiscussionsMajadilianoHariri
SwahiliALLIANCE FOR SOCIAL CHANGE { UMAKI } ni shirika lisilo la kiserikali na watu wake wa kujitolea ni 1. KENETH MKATA 2. MOHAMED KIZERU 3. MWANAIDI SALIMUHariri