KUWAJENGEA UWEZO VIONGOZI WA SERIKALI ZA MTAA KUSHUGHULIKIA CHANGAMOTO ZA ELIMU – Kuwajengea uwezo viongozi wa serikali za mitaa juu ya mbinu za kutatua changamoto zaelimu katika jamii wanazoongoza ni mradi mpya unaotarajiwa kutekelezwa na TEMOA mwaka 2015/2016. – Mradi unapangwa kutekelezwa katika halmashauri mbali mbali hapa nchini ikiwemo chato mkoani Geita. Shirika linaendelea na utafutaji wa fedha kwa ajili ya ufadhili... | (Not translated) | Edit |