Envaya

/SALIO/history: English: WI000B12DDC96C5000001103:content

Base (Swahili) English
Save lives organization Trust Fund Tanzania ni taasisi isiyo ya kiserikali, kidini wala si ya mtu binafsi. Ni taasisi ya kiraia ambayo ilianzishwa kwa ajili ya jamii nzima.

Kama lilivyo jina lake, taasisi hii ilianzishwa mwaka 2005 na waanzilishi wa taasisi hii ambao ni Mchungaji Jubeck T. Mapassa wa kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Kusini pamoja na Mama Victoria Mbembela kwa lengo la kuokoa maisha ya watanzania maskini walio wengi.

waanzilishi wa taasisi hii waliona haja ya kuwa na chombo kama hiki ambacho kitahudimia wahitaji wa namna mbalimbali wakiwemo wajane, watoto waishio katika mazingira hatarishi (MVC), yatima, Vijana na wazee.

Kuanzisha kwa taasisi hii ni matokeo ya safari iliyofanywa na waasisi hao wawili wa shirika walipokuwa na ziara ya kutembelea makanisa mbalimbali katika wilaya ya Kilombero kwa shughuli za injili.

Katika safari yao hiyo walikutana na kisa cha mtoto mmoja ambaye alikuwa ni yatima Dada Anthonia Mbangule (Ambaye kwa sasa ni marehemu "Mungu ailaze Roho yake mahali pema Peponi"). Kisa hicho kilichokuwa kikihusu maisha ya binti huyo kiliwasikitisha sana waanzilishi hao na kupata msukumo wa kuanzisha taasisi hii ilikuwa chombo cha ukombozi wa maisha na mtetezi wa wanyonge.....

Kwa sasa Taasisi ina makao yake makuu katika Manispaa ya Morogoro, Kata ya Kiwanja cha Ndege , Mtaa wa Azimio, Kitalu Na. 1062.

Tunatoa Huduma za Upimaji VVU kwa Hiari, Utetezi wa Kisheria, Missada ya Kibinadamu kwa wahitaji wa namna mbalimbali, Mikopo midogo midogo kwa jasiliamali wadogo pamoja na kuandaa makongamano na warsha mbalimmbali za kiuchumi na kijamii.

Kauli mbiu yetu ni " AMUHURUMIAYE MASKINI HUMKOPESHA MUNGU......" Mithali 19:17

Wote Mnakaribishwa kushirikiana nasi katika kufanya kazi hii ngumu ya mapambano dhidi ya Umaskini, Ujinga na maradhi.

Taasisi yetu haina Ubaguzi wa dini, Kabila, Rangi, Jinsia wala Utaifa.
Save Lives in Tanzania Organization Trust Fund is a non-governmental organizations, religious or not the individual. It is a civil institution that was established for the whole community .

As does his name, this institution was founded in 2005 by the founders of this institution who is pastor Jubeck T. Mapassa Moravian Church Southern Province of Tanzania, with mother Victoria Mbembela aimed at saving the lives of the majority of poor Tanzanians .

the founders of this organization saw the need for a tool like this that kitahudimia need of various kinds, including widows, children living in high-risk environment (MVC), orphans, youth and elders to .

Establishing this institute is the result of the trip they made to us were two of the organization and tour visiting various churches in the districts of Kilombero activities gospel. ,,,, In their journey they met a case of one child who was orphaned Anthonia Mbangule Sister (who is now deceased "God ailaze his soul in eternal paradise"). It was kikihusu story of her life very kiliwasikitisha these pioneers and to get inspiration for starting this organization was a tool of liberation of life and an advocate of the weak .....

Currently the Institute has headquarters in Morogoro Municipality, Cut the airport, Street Declaration, and Block. 1062 .

We offer services to the Voluntary HIV Testing, Legal Advocacy, Missada Humanitarian needs of various kinds, small loans for small jasiliamali with organizing conferences and workshops and socio-economic mbalimmbali .

Statement Our sound is a "poor AMUHURUMIAYE HUMKOPESHA GOD ......" Proverbs 19:17,,,, all Mnakaribishwa to work with us in this difficult struggle against poverty, ignorance and disease. ,,,, Our Institute has no discrimination of religion, tribe, race, gender or nation.

In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
July 13, 2010
Save Lives in Tanzania Organization Trust Fund is a non-governmental organizations, religious or not the individual. It is a civil institution that was established for the whole community . – As does his name, this institution was founded in 2005 by the founders of this institution who is pastor Jubeck T. Mapassa Moravian Church Southern Province of Tanzania, with mother Victoria Mbembela aimed at saving the lives of the majority of poor Tanzanians . – the founders of this...