Log in

/chemadev/history: English: WI0008DF8C9D33C000000973:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English

CHEMA DEVELOPMENT ORGANISATION ni Asasi isiyo ya kiserikali iliyosajiliwa mwaka 2008 chini ya sheria ya mwaka 2002.  Namba ya usajili ni 00ngo00002038 kuna wanachama 10. kabla ya hapo kilikuwa ni kikundi cha sanaa kilichosajiliwa mwaka 2000 chini ya sheria ya Baraza la Sanaa (BASATA) kwa madhumuni ya kuelimisha jamii kwa njia ya sanaa baada ya kugundua sanaa ni njia ya kupeleka ujumbe kwa haraka kwa watu wengi zaidi.  Baada ya kikundi kukua wanachama waliamua kujisajili kuwa NGO ili kupanua wigo wa utekelezaji wa malengo yake kwa jamii. 

Makao makuu ya Chema yapo mkoa wa Morogoro, Manispaa ya Morogoro Kata ya Kingo, Mtaa wa Nkomo jengo la DDC.

Good Development Organization is a non-governmental organization registered in 2008 under the laws of 2002.   The registration number is there 00ngo00002038 10 members. before there was a group of art registered in 2000 under the laws of the Council of Arts (BASATA) for the purpose of educating the community through the arts after discovering the art is a way to send messages quickly to more people.   After growing the group members decided to register a NGO to expand implementation of its goals for the community.  

Good headquarters are in Morogoro Region, Morogoro Municipality Ward cave, Nkomo Street building DDC.


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
October 12, 2010
Good Development Organization is a non-governmental organization registered in 2008 under the laws of 2002. The registration number is there 00ngo00002038 10 members. before there was a group of art registered in 2000 under the laws of the Council of Arts (BASATA) for the purpose of educating the community...