Envaya

/OLAI/post/20572: English: CMYfDOrWMNRDhUvCcLJ3Gzp6:content

Base (Swahili) English
Migogoro (Mashauri) ya ardhi katika jamii hii na mahala pengi nchini imesambaa. Hivyo ni muhimu kwa jamii kushughulika na uzingatiaji wa sheria ya ardhi, ili kukabiliana na migogoro inayojitokeza ndani ya watumiaji a namna yote kwa maana ya wakubwa, wa kati na wadogo. Kuizingatia sheria ya ardhi ni jambo muhimu kwa jamii, ili kupunguza au kuondoa kabisa migogoro ya Ardhi. Tupambane pamoja.
(Not translated)

In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register