4. UZINDUZI WA MAKTABA YA JAMII YA WEMA - MKALAPA – Tarehe 11 Julai 2009 iliambatana na tukio muhimu na la kihistoria katika kijiji cha Mkalapa. Kijiji cha Mkalapa kipo katika wilaya ya Masasi mkoani Mtwara. Kikundi cha Wanaharakati wa Elimu, Mazingira na Afya-WEMA walizindua rasmi Maktaba yao ya Jamii ya WEMA ambayo ina vitabu na machapisho zaidi ya 750. – Vitabu vilivyomo kwenye maktaba ya WEMA vimechangiwa na... | 4. UZINDUZI THE LIBRARY OF THE SOCIETY OF KINDNESS - MKALAPA – On July 11, 2009 was here accompanied by an important and historic event in the village of Mkalapa. Village of Mkalapa is in Masasi district in Mtwara. A group of activists of Education, Environment and Health-KINDNESS officially launched their Community Library, which has good books and more than 750 publications. – The books in the library of the... | Edit |