Log in

/AUG/post/11241: English: WI000DC37747C6B000011241:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English

MATUNDA YA KUHUDHURIA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KIVITENDO NA KUTHUBUTU KUYAFANYIA KAZI MAFUNZO NA KUKUBALI KUELEKEZWA NA KUSIMAMIWA IPASAVYO

Katika eneo la Tegeta kuelekea Twiga cement karibu na kanisa la KKKT kuna mfugaji mzuri wa samaki Ndugu KIbona ambaye hivi majuzi amevuna mazao yake ya kwanza katika Bwawa lake ambalo ukiliona utapenda kufuga samaki.Katika kufanya zoezi la Monitoring and evalution tuliamua kwenda kumtembelea Ndugu huyu kama kawaida ya shirika letu la Africa Upendo Group na kwa pamoja tulikutanika pamoja na wataalamu wetu mbalimbali kama Consaltant wetu kutoka Open Mind Tanzania ndugu Dominic Nduguru,Mwalimu KIssai na Mwalimu Lishela kutoka Mbegani fisheries Development Centre,Ndugu Neatness Msemo Mwenyekiti Mtendaji wa AUG,Dr.Ramadhani Shaban Katibu Mkuu wa AUG,Goodchance Sangiwa Mkurugenzi wa Fedha na mipango wa AUG na Dada Ruth Rinden Mhasibu Mkuu wa AUG.Hawa kwa pamoja,wakiambatana na  wajumbe wengine walikuwa faraja sana kwa Ndugu KIbona na Kwa utaalamu mkubwa aliweza kuvuna samaki katika Bwawa lake ambalo kwa kweli inaonekana ameiva kwelikweli baada ya kupata semina iliyoendeshwa mwaka mmoja uliopita na shirika lisilo la kiserikali la Africa Upendo Group(AUG).Ndugu KIbona ni mmoja wa wanafunzi ambayo walipata semina na mafunzo kivitendo na wapo wanasemina wengi mfano dada Rachel Mapande na wengine ambao ni miongoni mwa wanasemina ambao waliyatendea kazi mafunzo.Dada Rachel yeye alishavuna miezi kadhaa iliyopita na hivi sasa ana mikakati ya kujenga Bwawa kubwa lingine ili anapovuna hawa apate mbegu ya kuwafuga katika bwawa jipya badala ya kwenda tena KInguruwira au kunduchi au Mbegani .Ameona ni vema aanze kuzalisha mbegu kwa wingi hata kuwauzia watu wengine watakaohitaji.Kaka Kibona na yeye ana mpango wa kujenga mabwawa mengi zaidi pale tegeta pamoja na eneo lake kubwa huko Madale kwani ameona faida kubwa.Samaki ni rahisi sana kufugwa kwani hawahitaji chakula kingi na hawana magonjwa wanachohitaji zaidi ni chakula kidogo tu na hewa zaidi.Karibu katika

UFUGAJI WA SAMAKI KWA LISHE BORA NA KIPATO ZAIDI.

Attend the fruits of practice of entrepreneurship training and dare this kind of training and Accept Orientation and managed appropriately

In the area of Tegeta towards the Twiga cement near the church of ELCT there raiser-etc good fish Dear bon a who recently has reaped its products first in the dam its that if you saw it you would keep samaki.Katika to exercise Monitoring and evalution we decided to go visit Brother this as size of our organization's Africa Group and love together, we together with our professional range as our Consaltant from Open Mind brother Dominic Nduguru Tanzania, Mwalimu Mwalimu KIssai Lishela from the shoulders and Fisheries Development Centre, the Executive Chairman Dear Neatness expression of Aug, Dr.Ramadhani Shaban Secretary General of Aug, Goodchance Sangiwa Director of Finance and planning of Aug and Sister Ruth Rinden Accountant General AUG.Hawa together, were accompanied by other members were comforted greatly by brethren Why and With expertise huge he can harvest fish in the pond of his which the actually it seems he has prepared really after getting the workshop lasted one year ago and non-governmental organization of Africa Love Group (Aug). Dear Why is one of the students that they have seminars and training practice and there are seminars many model sister Rachel, and the others who are among of the seminar who were yatendea work mafunzo.Dada Rachel she shavuna several months ago and now has a strategy of creating a large pool next to a povuna these may seed kuwafuga in pool new instead of going back KInguruwira or Kunduchi or shoulders. Ameona are well begin to produce seed in bulk to sell other people hitaji.Kaka why and he has a plan to build dams lot more there tegeta with its area larger in Dale, because he has seen the benefits kubwa.Samaki is very easy to cattle because they need more food and have no diseases, they need more than a little food only by air zaidi.Karibu in

Fish farming NUTRITION AND INCOME FOR MORE.


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
April 15, 2011
Attend the fruits of practice of entrepreneurship training and dare this kind of training and Accept Orientation and managed appropriately – In the area of Tegeta towards the Twiga cement near the church of ELCT there raiser-etc good fish Dear bon a who recently has reaped its products first in the dam its that if you saw it you would keep samaki.Katika to exercise Monitoring and...