Fungua

/nuruhalisi/news: Kiswahili

AsiliKiswahili
Nuru halisi kwa sasa tunafanya usafi wa mazingira mtaa wa markaz ulioko Kata ya ukonga.Hii ni katika kutekekeleza azma ya kusimamia suala zima la utunzaji wa mazingira na kutoa elimu hiyo kwa vitendo.Tunatoa elimu ya umuhimu wa utunzaji wa mazingira,Utunzaji wa taka ngumu na kuzisafirisha toka majumbani hadi katika transfer points,kuharibu vyanzo vya mazalia ya mbu,pia kwa kushirikiana na serikali ya mtaa na wadau wengine tunafanya mchakato wa kupata takwimu sahihi ya makazi ,Idadi ya watu n.k.(Bila tafsiri)Hariri
Nasasa tunafanya utafiti wa maswala ya ugonjwa wa malaria maeneo ya markazi kwa ujumla na maeneo mengine kuzunguka maeneo hayo japo hatuja fanikiwa kwa sana kutokana na baadhi ya wadau kuto kuonyesha ushirikiano wa kutosha. Tunapata ushirikiano kutoka serikali ya mtaa huo na pia tunashirikiana na manispaa kitengo cha afya.(Bila tafsiri)Hariri
CommentsMaoniHariri
MayMeiHariri
{month} {day}, {year}{day} {month}, {year}Hariri
Kinyarwanda(Bila tafsiri)Hariri
SwahiliALLIANCE FOR SOCIAL CHANGE { UMAKI } ni shirika lisilo la kiserikali na watu wake wa kujitolea ni 1. KENETH MKATA 2. MOHAMED KIZERU 3. MWANAIDI SALIMUHariri
Main MenuMenyu KuuHariri
NetworkMtandaoHariri
PreviousIliyotanguliaHariri
Edit translationsHariri tafsiriHariri
Parts of this page are in %s.Maeneo ya ukurasa huu ni kwa %s.Hariri
StandardKawaidaHariri
Mobile+255.769 62 16 30 , 0757 26 07 09 , 0769 4400.223Hariri
ContactMawasilianoHariri