Log in

/DRC/projects: English: WI0009A2DE9195F000065787:content

« Previous   ·   Next »
Base ((unknown language)) English

KUWATAMBUA NA KUWAORODHESHA WATOTO YATIMA;

DRC-in Tanzania kuanzia tarehe 19/03/ -29/07/2011 tumefanya kazi ya kuwatambua na kuorodhesha watoto 20 walioko katika mazingira hatarishi katika vijiji vya kata ya mkuzi wilaya ya Muheza.tunatarajia kuwapatia msaada wa sare za Shule Pamoja na kuwalipia karo katika kipindi cha 2012 endapo tutakuwa tumepata ufadhili kutoka kwa wadau mbalimbali.

(Not translated)

In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register