(image) – Tukiendelea na Program ya Mafunzo ya Uongozi kwa WANAWAKE (Waheshimiwa Madiwani,viongozi serikalini,na kada nyingine mbalimbali za utumishi wa umma,mashirika binafsi, taasisi za dini na vyama vya siasa).Lengo ni kuchochea uthubutu miongoni mwao ili kuona wanaweza na pengine wachukue fursa za kugombea nyadhifa mbalimbali za uongozi kwenye maeneo yao ya kazi. | (Bila tafsiri) | Hariri |