Log in

/fmzeituni/post/59397: English: CMePiDFSwteMQqQ6tx4t9fDV:content

« Previous   ·   Next »
Base ((unknown language)) English
Mzeituni Foundation ilipata fursa ya kushiriki katika maonesho ya 6 ya Asasi za kiraia(AZAKI) Bungeni Dodoma,yaliyo andaliwa na The Foundation For Civil Society kuanzia tarehe 28-30/may/2013 ikiwa ni kati ya asasi zilizopo nchini toka Bara na Zanzibar.Hapo ni jinsi mabanda ya Asasi mbalimbali yalivyokuwa yamepambwa na kuonesha kazi zinazofanyika katika asasi zao.
(Not translated)

In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register