Katika miaka ya hivi karibuni limefanya kazi kubwa ya kuhudumia jamii baada ya kuwepo kitengo cha kuhudumia watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi kinachojulikana kwa jina la BAK/AIDS chenye makao yake makuu huko Dar es Salaam. – Pia BAKWATA SERENGETI kupitia michango mbalimbali ya waumini na wahisani imeendelee kusaidia watu wenye ulemavu, wanawake wajane, wazee, watoto na vijana ili wapate haki zao za msingi ambazo ni:- ... | (Bila tafsiri) | Hariri |