Log in

/local/history: English: WIkX6xwhAFo1SWREx7YfgOdg:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English

shirika lilianzishwa mnamo mwaka 2011 mwezi wa 12 mkoani Tabora likiwa na lengo la kutoa elimu juu ya kujikinga na maambukizi mpya ya VVU kwa vijana kati ya miaka 18 na 45. Shirika liliweka mikakati juu ya kulipata kundi hili la vijana lililo kwenye hatari kubwa ya kukumbwa na janga hili la UKIMWI.

Tangu kuanzishwa kwa shirika hili ni takribani miezi sita sasa kumekuwa na mafanikio yafuatayo

1. Shirika limeweza kuyakusanya makundi yaliyo kwenye mazingira magumu na hatarishi na kuyaweka pamoja na kuyapatia elimu na misaada ia kisaikolojia, kielimu na kijasiriamali.

2.Baadhi ya makundi yamebadili tabia hatarishi na mifumo ya maisha yao baada ya kupata elimu

organization founded in 2011 in Tabora region 12 with a goal of providing education on preventing new HIV infections in young people between the ages of 18 and 45. Organization set up strategies for this group of youth can be accessed at a higher risk of vulnerability to the AIDS epidemic.

Since the inception of this organization is about six months now has been achieved following

A. The organization has been able to gather groups on complex and risky environment and put them together and endow ia education and psychological support, education and entrepreneurship.

2.Baadhi changed categories of risky behavior and patterns of their lives after an education


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
June 28, 2012
organization founded in 2011 in Tabora region 12 with a goal of providing education on preventing new HIV infections in young people between the ages of 18 and 45. Organization set up strategies for this group of youth can be accessed at a higher risk of vulnerability to the AIDS epidemic. – Since the inception of this organization is about six months now has been achieved following – A. The organization has been able to gather groups on complex and risky...